Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Ukweli unakuja, USA walianza hivi hivi kwa dharau... leo self quarantine ni pendo lao toka rohoni bila kulazimishwa!Wizara ya Afya nchini #Tanzania imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa mpya wa #COVIDー19 jijini Dar es Salaam ambaye ni mwanaume (51), raia wa Tanzania. Wizara inaendelea kuwafuatilia watu wote waliowahi kukutana na mgonjwa huyo. Ongezeko hilo linafanya visa vilivyoripotiwa kufika 25.
Huyu alikuwa anafuatiliwa? Alikuwa karantini? Maeneo yake anayofanyia biashara ni wapi? Ana familia hapa hapa Dar? Anatumia usafiri gani mara kwa mara aendapo kwenye biashara zake? Mara ya mwisho alikuwa wapi? Lini? Alifikaje hapo? Alishaonyesha dalili akiwa uraiani?Wizara ya Afya nchini #Tanzania imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa mpya wa #COVIDー19 jijini Dar es Salaam ambaye ni mwanaume (51), raia wa Tanzania. Wizara inaendelea kuwafuatilia watu wote waliowahi kukutana na mgonjwa huyo. Ongezeko hilo linafanya visa vilivyoripotiwa kufika 25.
😂😂Tutatia akili tu siku zijazo
Maswali magumu sana. Tutafika ambapo hatutapaweza kwa negligence tuliyo nayoHuyu alikuwa anafuatiliwa? Alikuwa karantini? Maeneo yake anayofanyia biashara ni wapi? Ana familia hapa hapa Dar? Anatumia usafiri gani mara kwa mara aendapo kwenye biashara zake? Mara ya mwisho alikuwa wapi? Lini? Alifikaje hapo? Alishaonyesha dalili akiwa uraiani?
Hakuna Mungu wa kusikiliza sala kama hiyo huku mkiwa irresponsible, mkimpa Bashite kutawala masuala ya Corona. Sahau!Mungu tuhurumie sisi waja wako hatuwezi kitu na wala hatujiwezi,tunajikabidhi kwako kabisa utuondolee huu ugonjwa na utuache tukiwa salama..sisi bila wewe si kitu Mungu tunaomba ulinzi wako..
Ameen[emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali hii inapenda sifa mpaka kwenye mambo serious..Tutatia akili tu siku zijazo
😂😂
Na haya ndo majibu ya watanzania!
Dah! Huyu hata ukimwambia tuuze nchi tugawane hela nafikiri yeye ndo atatafuta na mteja!! Naamini ndani ya saa moja atakuwa ameshapatikana na nchi itakuwa kibindoni tayari kwa mnada😂
Jembe letu hili.View attachment 1412928
Sasa hapo corona vipi?...no gloves no mask
Who:Corona, test..test..test
M,gambo:What corona?
Safi sana aisee hongera kwa kuusambaza ucoronaJembe letu hili.
Vipi umeshaupata?Safi sana aisee hongera kwa kuusambaza ucorona
Mimi ninaongelea janga serious wewe unaleta masiharaVipi umeshaupata?
Mkuu hama tu nchi maana yamekushinda nasisi wengine yakitushinda tutahama tena tukichelewa tutakimbizana kama nyumbu😂View attachment 1412928
Sasa hapo corona vipi?...no gloves no mas
Who:Corona, test..test..test
M,gambo:What corona?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Na haya ndo majibu ya watanzania!
Dah! Huyu hata ukimwambia tuuze nchi tugawane hela nafikiri yeye ndo atatafuta na mteja!! Naamini ndani ya saa moja atakuwa ameshapatikana na nchi itakuwa kibindoni tayari kwa mnada[emoji23]