imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nyie wanaCCM fanyeni masihara tu.Jinga sana wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wanaCCM fanyeni masihara tu.Jinga sana wewe
Umepima wangapi mpaka useme hatuna mgonjwa hata mmoja? Wajinga akina Ummy! au wanajua lkn kwa vile mteule wao anataka hivyo wanafanya atakavyoSerikali hii inapenda sifa mpaka kwenye mambo serious..
Asa ivi utasikia HATUNA mgonjwa hata mmoja.
Unasema Lisu tumemfanya Nini? Una maana sisi akina Nani na wewe au nyie akina Nani? Mipaka ya kuingia nchini imefungwa ndio...Kama Kenya imefunga mpaka ina maana na Tanzania nayo automatically imefunga mpaka..Haiwezekani Tanzania nayo itangaze eti tumefunga mpaka wakati tayari mwenzio ameshafunga mpaka huo? Kitu rational kwako kinaweza kuwa irrational kwa mwenzioKwani mipaka ya kuingia nchini imefungwa? Nikuulize swali, hivi Lisu mlimfanya nini na kosa lake ni lipi?
All in all huwezi kuwa rational, tuyaache...