VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,168
Ukweli ni kwamba hatuna uwezo kuzuia kuenea maambukizi, ni kumtegemea Mungu pekee, tutumie hekima na maarifa ya asili kujenga immune na kinga.
Nazidi kushauri kamati kuu corona, waelekeze wenye viwanda na kufuta kodi juisi ya limao,tangawizi,kitunguu swaumu. Tupeane elimu na hamasa pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazidi kushauri kamati kuu corona, waelekeze wenye viwanda na kufuta kodi juisi ya limao,tangawizi,kitunguu swaumu. Tupeane elimu na hamasa pia.
Sent using Jamii Forums mobile app