Janga tunalijua na tunalikabiri sasa wewe kila mara corona corona corona corona huna kingine cha kufanya? Kwani ulikuja duniani kukaa milele? Kama siku zako zimefika utakufa tu hata kwa ajali mkuu. Tulia chapakazi mkuu!Mimi ninaongelea janga serious wewe unaleta masihara