Janga tunalijua na tunalikabiri sasa wewe kila mara corona corona corona corona huna kingine cha kufanya? Kwani ulikuja duniani kukaa milele? Kama siku zako zimefika utakufa tu hata kwa ajali mkuu. Tulia chapakazi mkuu!Mimi ninaongelea janga serious wewe unaleta masihara
Majirani wamefunga mipaka kwa hiyo nimekuja kujificha huku bariadiMkuu hama tu nchi maana yamekushinda nasisi wengine yakitushinda tutahama tena tukichelewa tutakimbizana kama nyumbu😂
Kamati ya taifa corona itoe maelekezo viwanda vinywaji baridi watengeneze juisi hii limao,tangawizi,kitunguu swaumu na maji.Wafugwa na wanafunzi wagawiwe nasi mtaani tufanye upendo kupeana ofa .Selikali itoe kodi, ni kinga na tiba mfumo upumuaji tuendelee na maisha yetu. Huku tukimtumainia Mungu, tutumie maarifa yanayotekelezeka.View attachment 1412926
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio majibu yenu Wanalumumba, kwa hiyo mumeacha kusema corona ni UpinzaniJanga tunalijua na tunalikabiri sasa wewe kila mara corona corona corona corona huna kingine cha kufanya? Kwani ulikuja duniani kukaa milele? Kama siku zako zimefika utakufa tu hata kwa ajali mkuu. Tulia chapakazi mkuu!
Imhotep, jaribu kuchenjua nani wakujibizana humu JF. Do not waste your time, mimi nachagua sana nani nimjibuMimi ninaongelea janga serious wewe unaleta masihara
We jamaa ukijichunguza utagundua ni zero kichwani. Kwa unavyowaza ni kuwa watu wasitangaze kuhusu Corona! Jiangalie wewe.Janga tunalijua na tunalikabiri sasa wewe kila mara corona corona corona corona huna kingine cha kufanya? Kwani ulikuja duniani kukaa milele? Kama siku zako zimefika utakufa tu hata kwa ajali mkuu. Tulia chapakazi mkuu!
Usiwe na HOFU KIJANA AMINI UTAPITA TUMungu tuhurumie sisi waja wako hatuwezi kitu na wala hatujiwezi, tunajikabidhi kwako kabisa utuondolee huu ugonjwa na utuache tukiwa salama. Sisi bila wewe si kitu Mungu tunaomba ulinzi wako.
Ameen[emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wasema kuwa Kweli mimi ni zero kichwani ila akili ninazo kibao!! Hahahaha...!We jamaa ukijichunguza utagundua ni zero kichwani. Kwa unavyowaza ni kuwa watu wasitangaze kuhusu Corona! Jiangalie wewe.
Ni kawaida ukiingia ccm akili unaambiwa uziache nyumbani poleni sanaWewe wasema kuwa Kweli mimi ni zero kichwani ila akili ninazo kibao!! Hahahaha...!
Maswali yako yanaonyesha kama vile Watanzania tunachukulia suala la kuweka karantini watuhumiwa wa ugonjwa wa corona kuwa jukumu la serikali. Sivyo hivyo. Hatuna budi raia wote tulione hilo kuwa ni jukumu letu sote.Huyu alikuwa anafuatiliwa? Alikuwa karantini? Maeneo yake anayofanyia biashara ni wapi? Ana familia hapa hapa Dar? Anatumia usafiri gani mara kwa mara aendapo kwenye biashara zake? Mara ya mwisho alikuwa wapi? Lini? Alifikaje hapo? Alishaonyesha dalili akiwa uraiani?
Ila kwenye saccos inakuwaje?Ni kawaida ukiingia ccm akili unaambiwa uziache nyumbani poleni sana
Mtu ambaye ni zero kichwani huwa hajijui. Unajua kwanini? Kwasababu hana hata akili ndogo ya kujifikiria pale anapoamua kitu! Hana uwezo wa kujisahihisha!Wewe wasema kuwa Kweli mimi ni zero kichwani ila akili ninazo kibao!! Hahahaha...!
Wewe utamjua mwenye akili kweli? Mtu anajieleza jinsi alivyo kwa matendo yake. Avatar yako tu inaonyesha mwelekeo wa akili zako.Mtu ambaye ni zero kichwani huwa hajijui. Unajua kwanini? Kwasababu hana hata akili ndogo ya kujifikiria pale anapoamua kitu! Hana uwezo wa kujisahihisha!
Avatar yangu inaonyesha kuwa pamoja na kuwa ninao uwezo wa kumpa makonde mazito mazito huyo askari ila nimeamua kuheshimu cheo chake na kazi yake maana na yeye ameniheshimu kwa kiasi chake. Otherwise angechezea tu kipigo ili niilinde hadhi yangu vilevile!Wewe utamjua mwenye akili kweli? Mtu anajieleza jinsi alivyo kwa matendo yake. Avatar yako tu inaonyesha mwelekeo wa akili zako.
Kabisa kabisa, we are not serious indeed kwa hili. Sidhani kama tutakuwa na mwisho mzuri kwa hili. Mungu atusimamie kwa kweli.Maswali magumu sana. Tutafika ambapo hatutapaweza kwa negligence tuliyo nayo