Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa

Mbona amesema form six tu wakati na vidudu masaa yao ya masomo yamemegwa
 
Watu wanachukulia poa hili janga. Trump kasema recession inakuja,US doesn't have enough stockpiled medical equipment,hotels bars restaurants closed, kama nchi kama US ina struggle Tz itakuwaje?
 
Vipi kuhusu vyuo vikuu?

Vipi kuhusu sehemu za walevi kama mabar?

Vipi kuhusu ma night club?

Makanisani je? + mikusanyiko ile akina Mwamposa?

Misikitini nako vipi?

Masokoni nako vipi jamani?

Kuhusu kufunga mipaka ya nchi kwasasa ilo sitauliza !!

Mungu tusaidie
 
Afadhali aisee maana watu wazima kidogo wanaweza kujikinga ila watoto ni mtihani.
Watu wazima ndiyo waathirika wakubwa wa corona
Mpaka sasa hakuna mtoto wa chini ya miaka 10 aliyefariki
 
Hatua nzuri,kasahau tu mikusanyiko ya ibada,,piga spana piga spana...
 
Nadhan kuwaleta wote mtaani bado haisaidii, wanafunzi walio Bweni wabaki huko huko hata likizo ya Pasaka wasirudi.
Zifunge shule za kutwa pekee
 
Kuhusu Hapana Ndyo Inalevo Siti,kuzidisha Abiria Ni Uzembe Ulokuzwa Na Trafic Tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…