kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Sio kwa mtu mweusi, ktk idadi ya watu 6000 waliokufa china hakuna mtu mweusi hata mmoja. Sisi tunaambukizwa tu lkn tunapona. Kama mafua tu.Ila wakuu hii inshu ni serious..
Tatizo la kujiexpose katika JF, usikuonee Joowzey wa watuwewe mdada unikome,sijakuchukulia mumeo….Stalking and Mental Illness | Stalking Risk Profile
Aliyekwambia China wamekufa watu 6000 nani?Sio kwa mtu mweusi, ktk idadi ya watu 6000 waliokufa china hakuna mtu mweusi hata mmoja. Sisi tunaambukizwa tu lkn tunapona. Kama mafua tu.
Online tutorial mkuu kwa miundombinu ipiHata elimu ya juu inafaa kufungwa, kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa
Umemsikiliza Waziri Mkuu?Vipi kuhusu hiyo likizo, haitaathiri ufanyaji wa mitihani ya kidato cha sita??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Whoever you are, lad is not a lady.
Mimi naona Serikali imechelewa kuchukua hatua,mimi nungependa huyu mdudu aanze na viongozi waandamizi wanaoshindwa hata kujenga kadaraja wanabaki kulaumianaMimi nimeappriciate serikali ilivyochukua hii hatua... Coz ndo muda wake... Kuna hatua zinachuliwa baada ya case kutokea hasa maamuzi magumu kama haya....Hata michezo imesimamishwa baada ya nchi husika kuripoti kutokea kwa hili jambo... Tuache kuchukulia mambo kisiasa.
Sawa ni maoni yako pia.Mimi naona Serikali imechelewa kuchukua hatua,mimi nungependa huyu mdudu aanze na viongozi waandamizi wanaoshindwa hata kujenga kadaraja wanabaki kulaumiana
Vita dhidi ya Chadema wako mstari wa mbele lakini kwenye Corona wanajivutavutaSawa ni maoni yako pia.
"Bia ya shetani, soda ya Mungu Leta shetani moja hapa" Alisikika mlevi mmoja.Vipi wewe ushajaza Bia kwenye jokofu?
Maana weekend hakuna kwenda location.
Kwa nini kuna kigugumizi kwenye kufunga mipaka au kulazimisha 14 days isolation kwa yoyote anayeingia? Hivi ukifunga shule huku umeruhusu watu kuingia hovyo nchini kuna faida gani? Kwenye inshu ya Corona serikali imekuwa legevu sana.