Basi ndio maana upo empty tu kihoja shuleni unaenda kusoma au kulilia chakula?Tafuta case za iyunga aisee
We umesoma iyunga case ya shule kukosa chakula unaijua
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe mishe zako za kiume?Mpoteze joowzey ni moja ya vijana wanaaoonyesha maisha yao ypo perfect humu ndani
Ni kajamaa flani kana mishe za kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mana nimeandika kibongo bongo haiwezekani comrade soma vizuri hapo
small minds and dwarf lazima zitumike kama mitaji kwa watu wajinga wajinga.Bado tuna manabii na mitume uhange wanaoendelea kuhubiri uponyaji wa Corona kwa kutumia upako na keki.Wanatuzingua kwa kusema imetokana na shetani na majini. Serikali inayajua haya? Au ndo huo uhuru wa kuabudu na kupotosha wananchi?
Halafu kuna nchi ambazo zimefunga mipaka yao na imepiga marufuku mikusanyiko yote, hata ya misikiti na makanisa. Sisi je?
Tanzania hakuna mdada anaefikia 22 akiwa na bikra.Mara paaap..! Wanasayansi watoa tamko kuwa Corona, inatibiwa kwa mkojo wa mdada bikra mwenye umri wa miaka 22.Mamaweeeh...Watanzania tutakufa kama nzige.
Kwenu tu.Hii ni kwa nchi nzima au?
Wewe ulijifunika?Shuka ndio inakumbukwa
liangalie lilivyo kwanza, kauli chafu kama mwenyewe alivyo, corona itaanzia kwako shwain!Kwenu tu.
We Rebeca una akili sana,tutaonana kuleeeHata elimu ya juu inafaa kufungwa, kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa
Umeshasahau kuwa uliuliza swali la kijinga?liangalie lilivyo kwanza, kauli chafu kama mwenyewe alivyo, corona itaanzia kwako shwain!