Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
- Thread starter
- #21
Namsubiria apande juu kidogo.... afike kwenye vyuo vya elimu ya juu
Haha! 🤣🤣...Nimeona mkuu, lakini kwanini vyuo hawajafunga tu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiria apande juu kidogo.... afike kwenye vyuo vya elimu ya juu
Haha! 🤣🤣...Nimeona mkuu, lakini kwanini vyuo hawajafunga tu ?
Sijajua criteria walizotumia..Nimeona mkuu, lakini kwanini vyuo hawajafunga tu ?
Wangefunga mipaka kabla haujafikaUlitaka zifungwe kabla ugonjwa haujafika
Nchi gan corona haijafika halafu wamefunga shule?Hiyo ndio tahadhari kabla ya hatari
Nadhani labda kwa kuwa wanachuo wanajitambua ni rahisi kujikinga, tofauti na wa primary au secondary...Sijajua criteria walizotumia..
Kupima watu sio abiria tuu na wafanyakazi,hugo ni sawa sio rajabu,ulitaka wasipimwe??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa wafunge kabisa maana wanafunzi wengi wa chuo wako likizo fupi. Watoe tamko kwamba tarehe ya kufungua chuo imesogezwa mbele.hat elimu ya juu inafaa kufungwa,kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa
Safi tu!Msongamano jijini Dar esSalaam Tanzania ktk Mitaa ya Kariakoo na soko Kuu la Kariakoo vipi ?
Suala la mipaka ya nchi hii huwa linanipa kizunguzungu, maana kila siku wahamiaji haramu wanakamatwa wakiwa wameshafika Morogoro, Iringa au Mbeya. Huwa wanapitaje?...
Vipi wewe ushajaza Bia kwenye jokofu?na hao watoto wasichukulie hii kama likizo ya kwenda kutembeleana na kupiga photo shoot,
wakae manyumbani bila kufanya safari zisizokuwa na ulazima.
Sio kuiga nchi, hili ni suala la kufikiri tu kwa mfano Uganda ilianzisha Karantini kwa raia wanaotoka nchi za Category 1 yaani China Italy na Iran karantini ya siku 14Nchi gan corona haijafika halafu wamefunga shule?
Online tutorials kibongo bongo bado! Ni kheri vyuo vifungwe tuhat elimu ya juu inafaa kufungwa,kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa