johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pinga pinga kazini!Nasema hivyo maana kama in kuzuia mikusanyiko, mbona watoto hao hao sasa wanakutana makanisani na.misikitini? It is rubbish kufunga shule ukaruhusu wanafunzi hao hao wakutane makanisani na unabariki kuwa yesu ataunguza corona.
Wa kumlaumu ni Kikwete, haya yasingelitupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema hivyo maana kama in kuzuia mikusanyiko, mbona watoto hao hao sasa wanakutana makanisani na.misikitini? It is rubbish kufunga shule ukaruhusu wanafunzi hao hao wakutane makanisani na unabariki kuwa yesu ataunguza corona.
Wa kumlaumu ni Kikwete, haya yasingelitupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Pinga pinga kazini!
Kuna watu wamejaa chuki sasa wanajitahidi kutafuta kil sababu.Hoja yako sio pesa bali useme serikali aijakazia kuhusu makanisa ila tusiwe wajinga 2jiongeze 2shende kanisani sio kila kitu tungoje matamko. shule kufungwa ilikuwa sahihi mtoto wa mtu angefia hospital ungekuwa uzembe wa serikali
KwakweliPinga pinga kazini!
Everything happen for reason / Expect more Pregnancy
Hoja yako sio pesa bali useme serikali aijakazia kuhusu makanisa ila tusiwe wajinga tujiongeze tusiende kanisani sio kila kitu tungoje matamko.
shule kufungwa ilikuwa sahihi mtoto wa mtu angefia shule ungekuwa uzembe wa serikali
Ila wakifia kanisani utakuwa uzembe wa wazazi wao serikali haitalaumiwa kwa chochote. jiongezeni fungieni watoto wenu nyumbani wacheze wafanye kazi ndogo ndogo na ma-housegirl wapumue.
Nafikiri hoja yako iwe ni serikalo kuchukua hatua pia makusanyiko ya kwenye ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee una nongwa sana. Kanisani au misikitini na mikusanyiko mingine hulazimishwi.Nasema hivyo maana kama in kuzuia mikusanyiko, mbona watoto hao hao sasa wanakutana makanisani na.misikitini? It is rubbish kufunga shule ukaruhusu wanafunzi hao hao wakutane makanisani na unabariki kuwa yesu ataunguza corona.
Wa kumlaumu ni Kikwete, haya yasingelitupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako sio pesa bali useme serikali aijakazia kuhusu makanisa ila tusiwe wajinga tujiongeze tusiende kanisani sio kila kitu tungoje matamko.
shule kufungwa ilikuwa sahihi mtoto wa mtu angefia shule ungekuwa uzembe wa serikali
Ila wakifia kanisani utakuwa uzembe wa wazazi wao serikali haitalaumiwa kwa chochote. jiongezeni fungieni watoto wenu nyumbani wacheze wafanye kazi ndogo ndogo na ma-housegirl wapumue.
So kenyata , Trump na Marais wengine wanaongoza ibada za kitaifa ni wajinga .Nasema hivyo maana kama in kuzuia mikusanyiko, mbona watoto hao hao sasa wanakutana makanisani na.misikitini? It is rubbish kufunga shule ukaruhusu wanafunzi hao hao wakutane makanisani na unabariki kuwa yesu ataunguza corona.
Wa kumlaumu ni Kikwete, haya yasingelitupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema hivyo maana kama in kuzuia mikusanyiko, mbona watoto hao hao sasa wanakutana makanisani na.misikitini? It is rubbish kufunga shule ukaruhusu wanafunzi hao hao wakutane makanisani na unabariki kuwa yesu ataunguza corona.
Wa kumlaumu ni Kikwete, haya yasingelitupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee una nongwa sana. Kanisani au misikitini na mikusanyiko mingine hulazimishwi.
Everything happen for reason / Expect more Pregnancy
anatuletea mambo ya kukanyaga mafuta ya mwamposaKama Rais ilibidi akataze mikusanyiko. Na sasa ana iencourage kuwa dawa halisi ya corona iko kanisani na corona itaungua kwa jina la yesu
Sent using Jamii Forums mobile app