CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

Kapimiwa wapi na lini? Maabara si inafanyiwa marekebisho?

Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
 
Mimi siamini kama huyo mama alikuwa na corona ni kweli kuna tatizo kwenye vipimo
Asije akadanganya watu watumie mizizi halafu wapukutike
 
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Hayo majani kasema yanaitwaje
 
Mimi ndugu yangu alipiga "cha Arusha",baadaye akakutwa negative!Wizara ya Afya jaribu kitu cha Arusha na mkikuta ni kweli mnicheki!
 
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Nimeguswa, naunga mkono hoja.
P
 
Ikingili ni dawa toka zamani sana ya kifua tulikuwa tunakata vijiti tunaweka kwenye majivu alafu tunakuja vila magome kama unakula gomba au kwa watoto tulikuwa tubachuma majani then tunapaka kwenye mua uliomenywa tunampa ale kifua lazima Kipone
 
Back
Top Bottom