CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.

Kuna Viongozi wa Siku hizi ukiwa unawasikiliza na kuangalia watendayo utajua fika kuwa Utahaira tayari umeshawapata rasmi.
 
amepimwa maabara ya wapi maana maabara yetu sasa inaenda mda wa week mbili inachunguzwa na kufanyiwa maboresho


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo mama ( RC) si inasemekana alinunua kipimo Cha corona akiwa Nairobi !!
 
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Ninayo hayo majani ya kumwaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mimea ingegunduliwa ulaya,saa hizi jngekua imetoweka
Mtu anauliza amepima wapi?Jadili uwezo wa mmea kwanza
 
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.

Stori ndeefu halafu mwisho ukaishia kumtukuza mfalme mtakatifu yohana

What a shame!
 
JPM
tapatalk_1589390986199.jpeg


Au Modds mnasemaje?
 
Asije akawa ndio mwenye sampuli za lile papai maana maza ni wa njano Kama papai. Tuwe makini na mapapai huwa hayaumwi na hayana huo Ugonjwa sasa usije kuchanganya ukafuata vipimo vya papai
 
Mimi siamini kama huyo mama alikuwa na corona ni kweli kuna tatizo kwenye vipimo
Asije akadanganya watu watumie mizizi halafu wapukutike
Wewe utakuwa mtu wa mwisho kusadiki
 
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.

Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kuisikia hilo. Yaani furaha imenijaa.

Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Serikali ikudaidie kutafuta majani?
U are not seriuos jamaa yangu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom