Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ila uchungu wake hauzidi hili gonjwa Mkuu
Rahisisha mambo mkuu,zikileta (+)hizo zimetumwa na mabeberu lkn vikileta( -) jua hivyo ndio vimesoma sahihi.But walituambia maabara nayo inafanyiwa vipimo, wakawaondoa wale wataalamu kupisha uchunguzi, mbona hamkutuambia lini uchunguzi uliendelea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haRahisisha mambo mkuu,zikileta (+)hizo zimetumwa na mabeberu lkn vikileta( -) jua hivyo ndio vimesoma sahihi.
Alishakua hana hata kabla hajapima wanazingua tu!Taarifa zinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amepona ugonjwa wa #COVID19 aliothibitika kuwa nao mnamo Aprili 29, 2020
Imeelezwa kuwa majibu ya vipimo vya mara ya pili alivyofanyiwa Dkt. Mghwira yanaonesha hana maambukizi ya ugonjwa huo (negetive)
Alishakua hana hata kabla hajapima wanazingua tu!
Hashanah ila alihisi watu ndo shidaZile mashine zilizosema mapapai yako positive ndio hizo zimetumika kumpima tena huyo?
Safari hii mmeziamini!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaguswaje kijinga hivyo? Jiulize swali rahisi, je kapimia wapi wakati maabara inafanyiwa uchunguzi mpaka leo?Nimeguswa, naunga mkono hoja.
P
Mashine iliyokupima mwanzo unaonyesha uko covid 19 positive ilikuwa unasoma kwa makosa kwa mujibu wa Mh Rais, kwa maana hiyo vipimo vikiwa positive means negative.Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.
Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kusikia hilo. Yaani furaha imenijaa.
Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.
Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.