paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Sawa usijaliWakikupa majibu unitag na mimi.
Tusubili nitakutag mkuuTulia sisi ndo wataalamu.
Ukipata jibu la hili swali nitag
Taarifa zinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amepona ugonjwa wa #COVID19 aliothibitika kuwa nao mnamo Aprili 29, 2020
Imeelezwa kuwa majibu ya vipimo vya mara ya pili alivyofanyiwa Dkt. Mghwira yanaonesha hana maambukizi ya ugonjwa huo (negetive)
Pia soma > RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19 - JamiiForums
Kasuku wa Jiwe kaziniAlishakua hana hata kabla hajapima wanazingua tu!
sijasikia ujio wa masine 3 uku bara najua ni Zanzibar zimekuja wiki hiiMbona Kuna mashine tatu ziliuja wiki ilio Isha au hamkumsikia pia hamkuambiwa kua mashine hazipo au hazifai Ila zilikua zinafanyiwa marekebisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amepona ugonjwa wa #COVID19 aliothibitika kuwa nao mnamo Aprili 29, 2020
Imeelezwa kuwa majibu ya vipimo vya mara ya pili alivyofanyiwa Dkt. Mghwira yanaonesha hana maambukizi ya ugonjwa huo (negetive)
Pia soma > RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19 - JamiiForums
Ukijibiwa nitag chiefKapimia maabara ipi na lini? Maabara ya Taifa tuliambiwa inafanyiwa marekebisho na ni more than 2 weeks since the last update. Huyu kapimwa wapi na lini?
Kazi unayo!
anapimiwa NAIROBI?Taarifa zinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amepona ugonjwa wa #COVID19 aliothibitika kuwa nao mnamo Aprili 29, 2020
Imeelezwa kuwa majibu ya vipimo vya mara ya pili alivyofanyiwa Dkt. Mghwira yanaonesha hana maambukizi ya ugonjwa huo (negetive)
Pia soma > RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19 - JamiiForums
Siwezi kuamini vipimo hivyo kwani hata kware ndege alionyesha positive.Toeni majibu ya utafiti wa mashine za kupima covid 19 kwanza kabla ya watu kusema wako negative,vinginevyo mnawachanganya wananchi.pili je Kama ni negative huyu mama je anaweza kuambukizwa Tena corona?Taarifa zinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amepona ugonjwa wa #COVID19 aliothibitika kuwa nao mnamo Aprili 29, 2020
Imeelezwa kuwa majibu ya vipimo vya mara ya pili alivyofanyiwa Dkt. Mghwira yanaonesha hana maambukizi ya ugonjwa huo (negetive)
Pia soma > RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19 - JamiiForums
Naam!