Ni vile tu kwa sababu ya Privacy concerns lakini ninge upload picha za banda langu la ng'ombe watatu ambapo nimechanganya kabisa na store ya nyasi(Hay)..... haki ya nani, nadhani hao Yepi Merkezi waaliiba design yangu kutoka hapo ndo wakajenga hizo stesheniza Tz! Tofauti ni vile banda langu liko open kuanzia height ya kiuno kwenda juu..Afadhali hizi market stalls in rural Kenya
View attachment 1254880
whoever did, aliona mbaliMnaona mbali kwani nyinyi ndiyo mlio design! Huo mradi kuanzia Financier, Feasibility, construction, consultant mpaka sasa operater ni mchina nyinyi mmetoa ardhi tu nukabaki mnapewa kazi za ulinzi na kusafisha vyoo. Lately mnazugwa kwa kufundishwa kuendesha train.
Yani unaadika kistaarabu kweli..
Nimeanimini tanzania unafiki ni taaluma, yani jamaa unaiponda sgr ya kenya kw lugha nzyri sana hku ukijifanya huoni mapungufu yyte katika reli yenu...
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]safi sana jomba
Kwani Suswa na Maimahiu wanaishi ngombe? eti ziko porini. Shughulikeni na ujenzi wa sgr yenu iliyokwama. Uganda watamaliza SGR yao kabla ata hamjafika dodoma
kulocate hizo stations 'porini' ni deliberate intentional na well thought. Tunaona mbali si kama nyinyi mnaona sasa hivi.Do this, enda miritini ama emali and compare now and three years ago..
Mnaona mbali kwani nyinyi ndiyo mlio design! Huo mradi kuanzia Financier, Feasibility, construction, consultant mpaka sasa operater ni mchina nyinyi mmetoa ardhi tu nukabaki mnapewa kazi za ulinzi na kusafisha vyoo. Lately mnazugwa kwa kufundishwa kuendesha train.
Watanzania hua mnachekesha sana, eti "Kenyans mjifunze umuhimu wa kufanya feasibility studies wenyewe.That way unapata unachotaka/hitaji." Sasa tuna nini cha kujifunza??? Reli yenu imekamilika? Je Tanzania imepata kile inachohitaji? Hamna lolote ambalo mmefanya hadi sasa, funga bakuli, subiri reli yenu ianze kufanya kazi alafu ndo ujifanye mwerevu wa kutoa mawaidha!
Tatizo lenu jingine nyie jamaa zetu hujiona mnajua kila kitu na kudhani hamuwwzi jifunza kutoka kwa tulio nyuma yenu. Kujifunza kwetu hakuhitaji kusubiri mradi ukamilike.
Modality tayari zinaeleweka hata kama ujenzi unaendelea. Sasa hapo sijui mnabisha nini. Yaani Mchina afanye Feasibility study, ajenge yeye, na pesa atoe yeye. Na hivyo vyote ni kwa lazima ili akupe pesa. Ndiyo sababu sisi tuliupiga chini ule mradi wa awali ambao modality ilikuwa kama hiyo yenu baada ya kuona tutapigwa.
Nani alikudanganya mchina ndo alifanya feasibility study?Tatizo lenu jingine nyie jamaa zetu hujiona mnajua kila kitu na kudhani hamuwwzi jifunza kutoka kwa tulio nyuma yenu. Kujifunza kwetu hakuhitaji kusubiri mradi ukamilike.
Modality tayari zinaeleweka hata kama ujenzi unaendelea. Sasa hapo sijui mnabisha nini. Yaani Mchina afanye Feasibility study, ajenge yeye, na pesa atoe yeye. Na hivyo vyote ni kwa lazima ili akupe pesa. Ndiyo sababu sisi tuliupiga chini ule mradi wa awali ambao modality ilikuwa kama hiyo yenu baada ya kuona tutapigwa.
Mnaona mbali kwani nyinyi ndiyo mlio design! Huo mradi kuanzia Financier, Feasibility, construction, consultant mpaka sasa operater ni mchina nyinyi mmetoa ardhi tu nukabaki mnapewa kazi za ulinzi na kusafisha vyoo. Lately mnazugwa kwa kufundishwa kuendesha train.
April or May probably
Wacha tuanzee na hii hapa, Feasibility study iliofanywa na World bank... Hii hapa summary reportTatizo lenu jingine nyie jamaa zetu hujiona mnajua kila kitu na kudhani hamuwwzi jifunza kutoka kwa tulio nyuma yenu. Kujifunza kwetu hakuhitaji kusubiri mradi ukamilike.
Modality tayari zinaeleweka hata kama ujenzi unaendelea. Sasa hapo sijui mnabisha nini. Yaani Mchina afanye Feasibility study, ajenge yeye, na pesa atoe yeye. Na hivyo vyote ni kwa lazima ili akupe pesa. Ndiyo sababu sisi tuliupiga chini ule mradi wa awali ambao modality ilikuwa kama hiyo yenu baada ya kuona tutapigwa.
hivi SGR Kenya ina mpango wowote wa EMU hata zile za diesel?
Ndugu akili ya kuambiwa changanya na yako,hivi umeshawahi fanya comparison kati ya Standard gauge na meter gauge kwa ujumla wake pros and cons, jikite tu kwny speed,study multiple effect yake kwny uchumi,sehemu ya masaa mawili unakwenda kwa dk 90 tu, hii itasaidia kuspeed shughuli za kiuchumi na movement ya watu pia,Zaidi ina uwezo wa kubeba mzigo mkubwa kwa mara moja, hapo utasave time, nishati....na n.k mzigo wa kubeba mara mbili utaubeba kwa mara moja na utafika kwa haraka zaidi,nyie majirani zetu ni mamaster sana wa manipulation,mbona nyie mliendelea na ya kwenu, poor you ndo maana mmeangukia pua.Afu study yenyewe mwisho 2030 are you serious?!!!Wacha tuanzee na hii hapa, Feasibility study iliofanywa na World bank... Hii hapa summary report
View attachment 1255835
Hebu sasa anza kuongea kuhusu hilo la kujifunza kutoka kwenu, WB ilishasema hakuna any economic sense ya kujenga SGR hapa EAC... Si unaelewa maana ya "Feasibility study"? ni kufanya utafiti kuangalia kama project iko viable na ita make economic sense... WB ilisema hadi tuwe na uwezo wa kubeba angalau 20-55 million tonnes kwa reli, hakuna haja ya kujenga SGR.... Tanzania mnajenga SGR ya capacity ya 19 Million tonnes, Bandari yenu ya DAR nayo mwaka jana ilishindwa kufikisha 20 million tonnes, Kumbuka mjiii wa Dar unachukua karibia 35%-50% ya hio mizigo kwahivyo haihitaji kusafirishwa na SGR... Alafu kumbuka si mizigo yote itabebwa na SGR, hata kule Europe, ni asilimia 21% pekee ya mizigo hubebwa na reli, hio nyengine bado hubebwa na malori...
---------------------------------------------------
Sasa twende kwa hii Feasibility Study iliolipiwa na Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda....
View attachment 1255837
Hio ripoti nayo ilionyesha , best case scenario, by 2030 Kenya inaweza kufikisha tani millioni tisa (9 million tonnes) kwa mwaka..... Best case ya Tanzania Central corridor ni 5 miliion tonnes..... Hii ni mizigo inaweza kubebwa na upgraded meter gauge railway, kwahivyo ilikua hakuna haja ya kujenga reli mpya .... Kumbuka hii ni feasibility iliofanywa kwa niaba ya EAC. lakini bado ilisema hakuna haja ya SGR.
View attachment 1255839
-------------------------------------
Alafu baadae mkatoa hela kivyenu na kulipa kampuni nyengine iwafanyie feasibility study na ikapata kwamba eti project ya SGR iko feasible sasa....... hio si ni kudanganyana tu au ni nini??? Iko wapi hio feasibility report yenu??? Si uiweke hapa tujisomee tuone walitumia hesabu gani hadi SGR ikakua feasible! Toa hio ripoti hapa nihame JF kwa miezi miwili!
Alafu wewe unakuja hapa na kuanza kutuhubiria kwamba eti tuna ya kujifunza kutoka kwenu! WTF!!!!! Tulia hapo reli yenu imalizwe ianze kufanya kazi tuone mkipata mafaida kupindukia... alafu hapo ndo uje utufundishe jinsi ya kuendesha bishara ya reli......
Ni sawa station za katikati ni ndogo kwa sasa zitakidhi mahitaji ya maeneo husika,hatunaga show off za kijinga jinga tunaangalia economic viability,nyie mmejenga station kubwa porini zinaoza tu huku zikiwagharimu pesa nyingi za kuzimaintain pasipo na faida yoyote,stupid....sie mdogo mdogo tu ikifika wakati wa kujenga station kubwa kwny maeneo hayo tutajenga tu tena zakwetu zitakuwa bora na zakisasa kuliko hata hizo zakwenu,haya majengo ya sasa tutayapangia kazi zingine mbona simple tu. Ardhi tunayo uwezo tunao,we stay focused kurupu kurupu,shobo kama za kwenu hatunaga sie.Ni vile tu kwa sababu ya Privacy concerns lakini ninge upload picha za banda langu la ng'ombe watatu ambapo nimechanganya kabisa na store ya nyasi(Hay)..... haki ya nani, nadhani hao Yepi Merkezi waaliiba design yangu kutoka hapo ndo wakajenga hizo stesheniza Tz! Tofauti ni vile banda langu liko open kuanzia height ya kiuno kwenda juu..