Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Hapana Ni MGR. Umetosheka sasaKule Kenya hiyo ni SGR!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Ni MGR. Umetosheka sasaKule Kenya hiyo ni SGR!
Huo ni uchafu[emoji23][emoji23]Kule Kenya hiyo ni SGR!
Yani mtu udhulumiwe halafu hulalamiki, bali wanaoingia barabarani ni wahuni na madereva[emoji23][emoji23]
Siku ukiwaleta hao wafanyibiashara wakilalamika uni tag...![]()
Reuters | Breaking International News & Views
Find latest news from every corner of the globe at Reuters.com, your online source for breaking international news coverage.af.reuters.com
Siku ukiwaleta hao wafanyibiashara wakilalamika uni tag...
Au pia ukikosa unaweza niletea hata wale wahuni
Kwetu hatufanyi miradi ya kifisadi!Napenda vile Kenya kuna Uhuru wa kujieleza
Kama ni huko kwenu TZ mkijaribu kupinga serikali hivi mngechapwa kama mbwa,,,na vile media house zenu zimelala...
Juu media imelala fofofo,Kwetu hatufanyi miradi ya kifisadi!
ninyi mliofichua uovu mpo wapi, maana katika mapambano ya ufisadi najua bado ninyi ni kinara wa ufisadi,Juu media imelala fofofo,
Achilieni media za Kenya hapo 3 months pekee muone zile uovu zitafichuliwa....
Wake up
Juu zinafichuliwa,ninyi mliofichua uovu mpo wapi, maana katika mapambano ya ufisadi najua bado ninyi ni kinara wa ufisadi,
Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi
Danganya watoto wa nursery,,,,Bongo ya JPM hakuna mtu anathubutu kuiba senti ya walipa kodi, maana hiyo ni sawa na kukata shauri la matatizo kwa ukoo mzima.
Kuna watu wanazimia jst kwa kushinda kumalizia contract work in time sembuse wizi...
Sasa kama jiwe amebana media zenyu tutajus aje?,Bongo ya JPM hakuna mtu anathubutu kuiba senti ya walipa kodi, maana hiyo ni sawa na kukata shauri la matatizo kwa ukoo mzima.
Kuna watu wanazimia jst kwa kushinda kumalizia contract work in time sembuse wizi...
Sasa kama jiwe amebana media zenyu tutajus aje?,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipee big fish mmoja ambaye amekamatwa na kuhukumia na koti uko bongo....Hakuna kitu kama hio, wezi wote wanakamatwa na habari tunapata toka kwenye media...
Just ulizia list ya vigogo/who in the past were untouchables iliyo ndani for economic crimes utashangaa...
Mbona umeanza utoto hapa?wacha kuchafua uzi na upumba,peleka uko dar vs Nai kwa watu wenye akili ndogo
Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi
China ilnayo wapa kushiba na kujidai mnajua aina ya demokrasia wanayoendesha nchini kwao?Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi