Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

ninyi mliofichua uovu mpo wapi, maana katika mapambano ya ufisadi najua bado ninyi ni kinara wa ufisadi,
Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi
 
Bongo ya JPM hakuna mtu anathubutu kuiba senti ya walipa kodi, maana hiyo ni sawa na kukata shauri la matatizo kwa ukoo mzima.

Kuna watu wanazimia jst kwa kushinda kumalizia contract work in time sembuse wizi...
Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi
 
Bongo ya JPM hakuna mtu anathubutu kuiba senti ya walipa kodi, maana hiyo ni sawa na kukata shauri la matatizo kwa ukoo mzima.

Kuna watu wanazimia jst kwa kushinda kumalizia contract work in time sembuse wizi...
Danganya watoto wa nursery,,,,
Squad yake including him wanaiba,
Akiwapumbaza Kila kitu ni shwari but in reality vitu Kwa ground ni chafu,
Juu hamna ubavu ya kureport na kutrendisha anything about government
 
Bongo ya JPM hakuna mtu anathubutu kuiba senti ya walipa kodi, maana hiyo ni sawa na kukata shauri la matatizo kwa ukoo mzima.

Kuna watu wanazimia jst kwa kushinda kumalizia contract work in time sembuse wizi...
Sasa kama jiwe amebana media zenyu tutajus aje?,
 
Hakuna kitu kama hio, wezi wote wanakamatwa na habari tunapata toka kwenye media...

Just ulizia list ya vigogo/who in the past were untouchables iliyo ndani for economic crimes utashangaa...
Sasa kama jiwe amebana media zenyu tutajus aje?,
 
Picha za wananchi vile wako inadhihirisha vile wanaishi,
Watu wamevaa shaghalabagala, na mnajiita mnadevelop....bure kabisa ccm
Hawa wanaonekana wana maisha mazuri
Z.jpg
images.jpg
Z.jpgimages.jpg
Z.jpg
images.jpg
 
Hakuna kitu kama hio, wezi wote wanakamatwa na habari tunapata toka kwenye media...

Just ulizia list ya vigogo/who in the past were untouchables iliyo ndani for economic crimes utashangaa...
Nipee big fish mmoja ambaye amekamatwa na kuhukumia na koti uko bongo....
 
Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi

Juu zinafichuliwa,
Huko kwenu wakubwa wanaiba but journalist yeyote hawezi risk Maisha yake kureport...north Korea style...
Mnabaki kuongozwa na kushabikia kama mambuzi
China ilnayo wapa kushiba na kujidai mnajua aina ya demokrasia wanayoendesha nchini kwao?
 
Back
Top Bottom