Duh!!mjuaji ni mjuaji, yani unataka kuelewesha kw pumba zako mwnywe[emoji1787]haya nieleweshe ni vp SGR yenu yenye limit kwa wagon zenye axle load 4 na kila moja ina uzito wa 25 tons zinaweza kubeba cargo zaidi ya SGR Tanzania yenye axle load limit 35 tons na ni nne pia kwa kila wagon! Yet ur SGR ina speed limit at 80 km/h for cargo in comparison to 120 km/h for Tanzania's! Zaidi ya hapo SGR Tanzania ina provision ya kuunga treni za urefu wa 2 km ukiacha double stack! Endeleeni kudanganywa na Mchina!
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
Hahaaa!!si nynyi mlisema hamlurupuki, imekuaje tena iwe kw sasa kuna vizuizi...
Kwhyo unataka kumaanisha mtazindua reli bila ya hicho kipande mpaka hyo miradi ya upanuzi na BRT ikamilike?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!wacha kupotosha hapa, hicho kipande ni mradi mwngine bana
Sent using Jamii Forums mobile app
We tumbili ya slum kwani reli yetu imekamilika hiko kipande ni cha kujengwa chini ya week 3 tu kazi kwisha
Station zenu zinafanana na banda la kuku.
MY TAKE
I see a better drainage system for SGR Tanzania than for SGR Kunyaland and SGR Ethiopia!
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 asvptx
Congo and Rwanda are shitholes. That route is not profitable at all. Kenya is better off with its Uganda route.Tanzania has 3 ports, they dont depend solely on their central transport corridor (Train +roads)like kenya does on its mombasa-Nairobi-kisumu corridor.
Their SGR will have more free capacity to carry lucrative long range goods to neigbouring countries while kenya still has to haul cargo to nairobi..Thats the logic thats how TZ wins transit goods war
SGR goes to mwanza port with container carriers already functioning..Kisumu port issa scamCongo and Rwanda are shitholes. That route is not profitable at all. Kenya is better off with its Uganda route.
Kafrican Upuuzi huu ndio kila siku unautetea? πππanakuja jamaa anadefend high cost of KE SGR kumbe ni upigaji mtupu
Tukiwaambia humu hawasikii zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuandika insha zisizo na umuhimu wala maana yoyote.
Utasikia wanajiita akili kubwa πππ kumbe akili kubwa ndio huwa wanapigwa kweupe hivi!wako kimya utafikiri kuku alienwagiwa maji [emoji23][emoji23]
Du, ni kupigwa kila upande hata na nyasi tena πππUtasikia wanajiita akili kubwa πππ kumbe akili kubwa ndio huwa wanapigwa kweupe hivi!
Nyasi tu πππDu, ni kupigwa kila upande hata na nyasi tena πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We tumbili ya slum kwani reli yetu imekamilika hiko kipande ni cha kujengwa chini ya week 3 tu kazi kwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Km mna chapaa za kutosha mbna juzi zitto kawatoa mapovu, tena bungeni kisa mmekosa mgao[emoji1787][emoji1787]Kama no mradi mwingine kama unavyo jidanganya basi ndiyo ujue tz tuko na chapaa za kutosha hadi kufanta miradi juu ya miradi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!kwhyo mtanzindua mradi nusu nusu sio?Mbona hapo ni akili simple tu kwamba kipande che port hakiwezi jengwa atleast mpaka upenuzi ufikie point flan, halafu kile ni km hata kumi hazifiki so hakita take long time tuendelee na mada nyingne
Sent from Gnet Phone using JamiiForums
Kumbe unafuatilia habari za kenya...yes ni banda la kuku,, lkn umeoona huu upigaji?
View attachment 1368679View attachment 1368680
mradi wenu ulitakiwa uwe half the price ya mradi wetu.. but itβs then too late, you will pay an overpriced and unfair debt
Buda, njia ambayo reli inatakiwa kujengwa kuna mradi mwingine unaendelea. Kuna ujenzi wa daraja jipya la magari ambapo chini reli ndiyo inapita.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna basi hakijajengwa, ina maana kilikua hakipo kwnye ramani..
Sio nynnyi mlikua hamjui km hapo mahali patajengwa reli ya aina gani, eti sai baada ya kuona tweet mnajikuta wanenguaji hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize reli yao ya SGR Mombasa port ilianza kutumika lini?Buda, njia ambayo reli inatakiwa kujengwa kuna mradi mwingine unaendelea. Kuna ujenzi wa daraja jipya la magari ambapo chini reli ndiyo inapita.
Wasingeweza kujenga reli kabla ya kufikia hatua fulani ya ujenzi wa daraja.