Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

So kwa maelezo yako ni kwamba reli hatuna uhitaji nazo c ndio?

Tunahitaji ndiyo maana nikasema kukarabati MGR peke yake ingekuwa suluhu kwa miaka mingi ijayo.

Hadi ifike Mwanza SGR uwe na zaidi ya TZS trillioni 20+, pesa hizi zitatoka wapi?

Kukarabati MGR hata TZS trillioni 1 haifiki.
 
Tunahitaji ndiyo maana nikasema kukarabati MGR peke yake ingekuwa suluhu kwa miaka mingi ijayo.

Hadi ifike Mwanza SGR uwe na zaidi ya TZS trillioni 20+, pesa hizi zitatoka wapi?
So unadhani sgr haitafika mwanza?
 
Reli zinahitaji ukarabati wa mara kwa mara na maintenance ili ziendelee kuwa na ufanisi. MGR na TAZARA ni mfano halisi wa watu kushindwa kufanya maintenance.

Kwa mapato kidogo tunayokusanya usitegemee miujiza kwenye SGR.

TAZARA ilikamilika mwaka 1975 lakini haina ufanisi tena.
Ni 7bu zipi zimefanya tazara icwe na ufanisi?
 
Ni 7bu zipi zimefanya tazara icwe na ufanisi?

Mapato kidogo kutokana na mizigo kidogo inayobebwa. Mapato kidogo maana yake ni poor maintenance. Hata kama reli ikijengwa idumu kwa miaka 100, maintenance ikikosekana baada ya miaka michache ufanisi unashuka.
 
So unadhani sgr haitafika mwanza?

Angalia attachment hii kuona tathmini ya World Bank kuhusu SGR na East African Community.

https://africog.org/wp-content/uploads/2017/06/World-bank-Report-on-the-Standard-Gauge-Railway.pdf

1586711781432.png
 
TAZARA kila siku wanalia njaa. Reli hizo hata kufanya ukarabati wa mara kwa mara tumeshindwa.

Treni zinatembea mwendo wa kinyonga, mizigo ya kubeba hakuna. Kwa ufupi zote ni loss-making.
Mtoto wako akifeli darasa la saba unamuacha kwa sababu ni loss making?
 
Tunahitaji ndiyo maana nikasema kukarabati MGR peke yake ingekuwa suluhu kwa miaka mingi ijayo.

Hadi ifike Mwanza SGR uwe na zaidi ya TZS trillioni 20+, pesa hizi zitatoka wapi?

Kukarabati MGR hata TZS trillioni 1 haifiki.
Hiyo hesabu ya trilioni 20+ umetoa wapi? Naanza kuwa na wasiwasi na uelewa wako
 
So u r waiting for wazungu waje wakwambie kwamba sgr is now needed in EA c ndyo?, na vp kuhusu jnhp c walikwambia kuwa ni uharibifu wa mazingira vp do you still agree with them?

Angalau hapo wazungu wana-make sense, jiepushe na maneno ya kupeana moyo ya wanasiasa.
 
akili za kuambiwa changanya na za kwako!


ni sawa na una nia ya kujenga ghorofa, afu nakuambia achana na ghorofa huna uwezo huo

alfu ni haohao walikataza ujenzi wa Nyerere power plant.

Kipato chetu tunakijua, ni dhahiri kuwa hatuna uwezo wa kujenga network yote ya SGR labda baada ya miaka 50. Halafu Rwanda, Burundi na DRC wote hao hawawezi kujenga SGR hata kidogo.

Tunajitumbukiza kwenye madeni makubwa bila sababu ya msingi.
 
Angalau hapo wazungu wana-make sense, jiepushe na maneno ya kupeana moyo ya wanasiasa.
Nikuambie ww ndo ujiepushe maana mm huwa naamini ninachokiona co mtu aniletee makadirio ambayo hayaonekani, c waliwaambia mpk kufikia april kutakuwa na cases nearly 1000 za corona au umesahau
 
Kipato chetu tunakijua, ni dhahiri kuwa hatuna uwezo wa kujenga network yote ya SGR labda baada ya miaka 50. Halafu Rwanda, Burundi na DRC wote hao hawawezi kujenga SGR hata kidogo.

Tunajitumbukiza kwenye madeni makubwa bila sababu ya msingi.
Laiti kama hao wazungu mnaowaabudu wangelikuwa na moyo km wako czan km wangelifika hapo walipo, hv unadhani wazungu walianza kuwa na uwezo ndo wakajenga hyo miundombinu mnayoiona leo?
 
Kipato chetu tunakijua, ni dhahiri kuwa hatuna uwezo wa kujenga network yote ya SGR labda baada ya miaka 50. Halafu Rwanda, Burundi na DRC wote hao hawawezi kujenga SGR hata kidogo.

Tunajitumbukiza kwenye madeni makubwa bila sababu ya msingi.
Nani kasema tunataka kujenga network yote ya sgr?
 
Laiti kama hao wazungu mnaowaabudu wangelikuwa na moyo km wako czan km wangelifika hapo walipo, hv unadhani wazungu walianza kuwa na uwezo ndo wakajenga hyo miundombinu mnayoiona leo?

Linganisha productivity ya wazungu na yetu. Halafu mimi siabudu wazungu wala sipo upinzani, ni mtu anayeitakia mema nchi yake.
 
Back
Top Bottom