Reli hupimwa kwa route length, sio track length..Povu lote la nn, alafu Dar-Moro co km 200 ni zaidi ya km300
Bollore logistics wanaosafirisha mizigo yao ya Uganda kupitia Naivasha ICD hawakulazimishwa n mtu yeyote!
Lete ushahidi kwamba sgr from Dar to Moro ni 202km.Reli hupimwa kwa route length, sio track length..
Kwa mfano reli ya Kenya huhesabiwa kama 472km , lakini track length ni 609km, kwahivyo vile vile reli ya TZ ni 202km, track length yake ndo hio unayosema ya over 300km
Alafu ucseme reli ya Tz, sema reli ya Tz ya sgr from Dar to Moro, reli ya sgr ya Tz ni ndefu sana mzee inaanzia Dar to Mwanza [emoji3][emoji3][emoji3]Reli hupimwa kwa route length, sio track length..
Kwa mfano reli ya Kenya huhesabiwa kama 472km , lakini track length ni 609km, kwahivyo vile vile reli ya TZ ni 202km, track length yake ndo hio unayosema ya over 300km
aliyekuambia kuwa wamelazimishwa ni nani....?[emoji38]Bollore logistics wanaosafirisha mizigo yao ya Uganda kupitia Naivasha ICD hawakulazimishwa n mtu yeyote!
Bolloré Transport & Logistics introduces rail export solution through Naivasha to curb the spread of covid-19
Kasome comment ya Geza Ulole niliokua naijibualiyekuambia kuwa wamelazimishwa ni nani....?[emoji38]
Hii ndo shida ya kujadiliana na watu ambao wanajisahau sahau, si ni wewe ndo ulieka hii 👇comment ukiongelea kuhusu Dar-MoroAlafu ucseme reli ya Tz, sema reli ya Tz ya sgr from Dar to Moro, reli ya sgr ya Tz ni ndefu sana mzee inaanzia Dar to Mwanza [emoji3][emoji3][emoji3]
Povu lote la nn, alafu Dar-Moro co km 200 ni zaidi ya km300
Yani umekua ukirusha mdomo hapa na hata haujui vipimo vya reli yenu, Nyi watanzania mna shida sana, know facts before you open your mouth!Lete ushahidi kwamba sgr from Dar to Moro ni 202km.
Anhaa kumbe co 202km ni 205km pia ikikamilika itafika 1231km aisee ndefu sn comparing with Kenya sgr which is only around 400km[emoji122][emoji122]Yani umekua ukirusha mdomo hapa na hata haujui vipimo vya reli yenu, Nyi watanzania mna shida sana, know facts before you open your mouth!
View attachment 1493474
View attachment 1493493
View attachment 1493505
Kwahivyo kesho ukiona mtanzania mwenzako bado anadai eti Dar-Moro ni over 300km mwambie its only 205km , hio over 300km ni ukchanganya track length yote ambayo imejumlisha loop lines(ili treni mbili ziweze kupishana), branch lines za kwenda vituo vya mizigo, abiria..etc
track length SGR Phase I ni 300 km! kuna parallel track of around 95 km to allow the trains to bypass each other! Pia SGR Phase II there is over 86 km of a parallel line too!Yani umekua ukirusha mdomo hapa na hata haujui vipimo vya reli yenu, Nyi watanzania mna shida sana, know facts before you open your mouth!
View attachment 1493474
View attachment 1493493
View attachment 1493505
Kwahivyo kesho ukiona mtanzania mwenzako bado anadai eti Dar-Moro ni over 300km mwambie its only 205km , hio over 300km ni ukchanganya track length yote ambayo imejumlisha loop lines(ili treni mbili ziweze kupishana), branch lines za kwenda vituo vya mizigo, abiria..etc
rudi shule ukaitishe refund! umeweka document ambayo wewe mwenyewe hauielewi.track length SGR Phase I ni 300 km! kuna parallel track of around 95 to allow the trains to bypass each other! Pia SGR Phase II there is over 84 km of a parallel line too!
View attachment 1493713
View attachment 1493714
https://news.kotra.or.kr/common/extra/kotranews/globalBbs/383/fileDownLoad/59645.do
Morogoro - Makutupora Railway
Hapo si kenya,acha uongo ..'Inapitanga' sio 'itapita'
View attachment 1492400
Picha ni nzuri ila tatizo white tembo🙄
U make that claim since Mchina hakujenga parallel line ili kuruhusu kupishana!Reli hupimwa kwa route length, sio track length..
Kwa mfano reli ya Kenya huhesabiwa kama 472km , lakini track length ni 609km, kwahivyo vile vile reli ya TZ ni 202km, track length yake ndo hio unayosema ya over 300km