Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Nakumbuka Kuna wakati Geza alinienjoy sana akisema zetu ni kidogo sana, nikamwambia asubiri tuone ticket gates zao zitakua ngapi kabla aanze kuingilia za wenzie.. Unaona Sasa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka Kuna wakati Geza alinienjoy sana akisema zetu ni kidogo sana, nikamwambia asubiri tuone ticket gates zao zitakua ngapi kabla aanze kuingilia za wenzie.. Unaona Sasa!!!
Hebu nielezeni ni vipi hio kwala dry port na ruvu marshaling yard zinahuaiana na operation za SGR..yes! mwaka jana kwenye ile safar ya wahandisi niliona kwala dry port ila hio marshal yard sikuiona ..
Kiufupi Kwala dry port itapokea mizigo kutoka bandari ya Dar es Salaam yaani ile inayoenda nje ya Dar kwa kutumia MGR na pia SGR (baada ya port link kukamilika) na baada ya kufika Kwala dry port mizigo itakuwa sorted na ile ya mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na mikoa ya Magharibi yaani Geita, Shinyanga, Kigoma, Mwanza, Kagera na nchi za Rwanda, Burundi, Uganda (to an extension South Sudan and central African Republic) na DRC itakuwa shunted at Kwala marshalling yard ready to be transported by electrical SGR or MGR while also trucks (local and international) will pick up their cargos at Kwala dry port! Pia mizigo ya mikoa ya Mara, Arusha, Kilimanjaro via MGR ukiacha Tanga port MGR link option. Another dry port in Arusha is U/C!Hebu nielezeni ni vipi hio kwala dry port na ruvu marshaling yard zinahuaiana na operation za SGR..
Yani hio process mzigo wa kutoka nje unapofika Dar port hadi pale unapofika Moro. Manake nimejaribu kuelewa lakini sijawai ona taarifa inayoelezea vizuri kwa kina..
Jamaa wamekimbia[emoji1787][emoji1787]Nakumbuka Kuna wakati Geza alinienjoy sana akisema zetu ni kidogo sana, nikamwambia asubiri tuone ticket gates zao zitakua ngapi kabla aanze kuingilia za wenzie.. Unaona Sasa!!!
Imesahau yetu ni mara mbili yenu ki distance mzeeA general SGR cost comparison reminder!!
Jamaa naona umebaki kujichekesha..ziko wapi hebu zilete hapa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hata nyie kahongeni IMF waanze kuwapikiawanajitekenya halafu wanacheka wenyewe hata mambo ya GDP wanapika data . yaani wanapenda sifa za kijinga. sasa wanamwongopea nani? wamevaa msuli wanaruka sarakasi (acrobatic) . sasa dhakari iko wazi
Alaaaa!!mbona poa tu, tuombe uzimaHow do u talk of security system while the terminal has not started working?
Or u meant ticketing system? 🤣 🤣 🙆♂️🤷♂️! Eti "wa kugeuzwa"...Alaaaa!!mbona poa tu, tuombe uzima
Hiyo ni trivial achievement Hiyo ipo hata kwa BRT ! Tukikuendekeza utabishia hata number of windows and doors! 🤣 🤣 🤷♂️Jamaa naona umebaki kujichekesha..
Km umeumwa sana lete hata nusu ha hapa, maneno mengi sitaki.au ndio unatafuta pa kutokeaView attachment 1860709
Electric sgr from port to Ruvu rates are cheaper than lorries from port to Rubi we pay rates per km. Diesel locomotives ingetumika ndio ingekuwa unyanyasaji like KenyaHuo sasa ni unyanyasaji, sasa wakulipia huo usafuri mpka ruvu atakua nani..
Serekali au mwnywe mzigo, manake km sisi hata km kuna vile tumekosa lkn miundombinu kw aji ya lorries bandarini ipo
una funza kichwani Dar-Morogoro-Dodoma-Makutupora (300 + 426 km) is longer than Mombasa-Nairobi-Naivasha(480+150 km)! And now we r also building Mwanza-Isaka (341 km)!Imesahau yetu ni mara mbili yenu ki distance mzee
DAR ES SALAAM PORT
LOGISTICS
SGR freight services steady despite low vessel numbers
There has been a drop on the number of vessels calling at the Port of Mombasa.
In Summary
•A report by Kenya Railways indicates that daily wagon supply fluctuated between 400 to 500 in the three months to June.
•The months of May and June saw depressed volumes due to lower vessel numbers.
The SGR Cargo train at the Port of Mombasa/FILE
Cargo haulage on the Standard Gauge Railway has remained steady despite a decrease in the number of vessels calling at the Port of Mombasa.
Total cargo tonnage was at 378,977 tonnes in the month of June, a slight drop from 383,109 tonnes that had been recorded in May and 451,208 tonnes in April, with Kenya Railways Corporation affirming stable operations in the three months.
A report by the corporation indicates that daily wagon supply fluctuated between 400 to 500 in the period under review, with the May and June period seeing depressed volumes due to lower vessel numbers.
"To enhance cargo evacuations, Kenya Railways and the SGR operator, Afristar have ensured that the double-decker stacking of 80 wagons are utilised to full carriage capacity, with each of the two trains conveying 152 TEUs per trip to the Inland Container Deport in Nairobi," Kenya Railways said in a statement.
Meanwhile, a special tandem double Engines train hauling 70 wagons of 140 TEUs per haulage has been added to reduce any possible cargo pile up at the Port of Mombasa.
Out of the total freight carried by the SGR operator Afristar in June, bulk cargo accounted for 115,920 tonnes, with containerised cargo registering a tonnage of 263,057.
The SGR performance between June 2020 and June 2021 had a total TEUs of 284,815,bulk cargo tonnage at 366,008 while the total tonnage for the fiscal year was 4,584,173 tonnes.
The performance has been pegged on among others, close cooperation between Kenya Railways and other partner cargo logistics agencies among them Kenya Ports Authority and Kenya Revenue Authority.
This has enabled direct, ex-hooks loading of cargo onto wagons (from the ship) and off-take of the same to the Inland Container Depots (ICDs) of Nairobi and Naivasha, without delays.
“We are impressed by our performance and the level of cooperation we continue to receive from our partner agencies within the transport corridor. We expect significant improvements once ongoing infrastructure improvement and expansion projects are commissioned,"Kenya Railways managing director Philip Mainga said.
Some of the ongoing projects is the almost complete SGR– Meter Gauge Railway(MGR) link between the Longonot Station and the Naivasha ICD, which will allow for seamless integration of services between the two networks to facilitate last mile delivery, especially of transit cargo destined for Uganda.
Rehabilitation of the Naivasha-Nakuru-Kisumu line is progressing well and on course to meet its target of full commissioning by August, Mainga said, while similar works on the Naivasha-Malaba line are on course to deliver sustainable evacuation of cargo from the Naivasha ICD for trans-shipment to the MGR.
Mainga noted that operations on the recently rehabilitated Nairobi-Thika-Nanyuki line were proceeding well for both passenger and freight cargo.
The Port of Kisumu also continues to provide a vital link, through MV Uhuru, for the conveyance of petroleum products to Uganda via Lake Victoria ports of Jinja and Port Bell.
SGR cargo services played a critical role in the transporting of equipment and furniture shipped into the country for the just concluded World Rally Championship (WRC) Safari Rally.
Kenya Railways, through the SGR operator, conveyed the special cargo from the Port of Mombasa to the Naivasha ICD, and is the main transport for the return trip.
“We were proud and honored to be part of the WRC global series as a partner and freight logistics provider of choice. We salute both the Kenyan and FIA organizers for a splendid job,” said Mainga, at the sidelines of the flagging off of the rally by President Uhuru Kenyatta at the Kenyatta International Convention (KICC) Centre.
![]()
The Star
The Star brings you breaking news, developing stories, politics, entertainment, lifestyle, sports and much more from Kenya and around the world, throughout the day.www.the-star.co.ke
MY TAKE
Mind u SGR Kunyaland has the capacity to haul 22 mln tonnes of cargo!
Jamaa mbona umeanza kulialia mzee, mpka umeanza kuleta ngojera hapauna funza kichwani Dar-Morogoro-Dodoma-Makutupora (300 + 426 km) is longer than Mombasa-Nairobi-Naivasha(480+150 km)! And now we r also building Mwanza-Isaka (341 km)!
Atakaelipa hyo gharama nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Electric sgr from port to Ruvu rates are cheaper than lorries from port to Rubi we pay rates per km. Diesel locomotives ingetumika ndio ingekuwa unyanyasaji like Kenya
Mbona unakimbia mada mzee[emoji1787][emoji1787]Hiyo ni trivial achievement Hiyo ipo hata kwa BRT ! Tukikuendekeza utapisha hata number of windows and doors! [emoji1787] [emoji1787] [emoji2369]
Mtambo wa gongo ukivutwa na vichwa viwili yaani engine mbili hapo mafuta ni X2!