Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hata wewe naona unashangaa sana na unafuatilia kila hatua; au vipi?πsiku ya kulipanda si atavua viatu kabisa. nimemshangaa sana huyo jamaa.
nawashangaa mnavyowehuka na mambo ambayo sisi kwetu tumeshayazoea hadi tumeyachokaHata wewe naona unashangaa sana na unafuatilia kila hatua; au vipi?π
Kama umechoka mbona kila siku unafuatilia; wewe nyang'au vipi mbona hueleweki?πnawashangaa mnavyowehuka na mambo ambayo sisi kwetu tumeshayazoea hadi tumeyachoka
ndio nimekwambia huwa nawashangaa sana nyinyi viumbe. kwani munaishi dunia gani tofauti na sisi ?Kama umechoka mbona kila siku unafuatilia; wewe nyang'au vipi mbona hueleweki?π
Wewe nyang'au wa kibongo unachekesha kweli kweliπndio nimekwambia huwa nawashangaa sana nyinyi viumbe. kwani munaishi dunia gani tofauti na sisi ?
View attachment 3020992
That Kenya with filthy dirty Nairobi without water n electricity!ndio nimekwambia huwa nawashangaa sana nyinyi viumbe. kwani munaishi dunia gani tofauti na sisi ?
View attachment 3020992
Mbona timu za mpira hamlalamiki? Hao akina Bakhresa, Mo na GSM ni watanzania na wana haki ya kuwekeza kama akina BoniYai na Mdudeππ
πππ kibwengo kweli ww. kila kitu kwako ni sawa tuMbona timu za mpira hamlalamiki? Hao akina Bakhresa, Mo na GSM ni watanzania na wana haki ya kuwekeza kama akina BoniYai na Mdudeππ
Na wewe ni kibwengo kweli; kila kitu kwako hakipo sawaππππ kibwengo kweli ww. kila kitu kwako ni sawa tu
uliona alichokifanya MO kwenye klabu ya Simba???Na wewe ni kibwengo kweli; kila kitu kwako hakipo sawaπ
Yaani wewe huchoki tu kuokoteza mtandaoni?
tatizo hutaki kuambiwa ukweli. wenzako wote walishakubaliana na mm hivi sasa wamebaki kutizama tu. wanajua vizuri kabisa kua ni muda ndio utakao amua. naona ww ndio bado umebaki kushupalia shingoYaani wewe huchoki tu kuokoteza mtandaoni?
Kamanda huchoki kuokoteza?tatizo hutaki kuambiwa ukweli. wenzako wote walishakubaliana na mm hivi sasa wamebaki kutizama tu. wanajua vizuri kabisa kua ni muda ndio utakao amua. naona ww ndio bado umebaki kushupalia shingo
View attachment 3021897
kalie mbali sana na mmKamanda huchoki kuokoteza?