hii mitumba itafika lini bandarini?Tanzania to deploy double-decker coaches in SGR network
A total of 30 double-decker wagons from discarded Deutsche Bahn AG stock and two locomotives are reportedly being shipped from Germany island of RΓΌgen to Tanzania.www.thecitizen.co.tz
kwani Tazara pia inafika Congo? jaribu kua realistic kidogo... Wachina wanaikwepa sana Sgr kwa maana wanajua wazi inaenda kufa kifo cha mende!Hafu Wachina wanaIhitaji Sana hii Reli Kwa ajiri ya kusafirisha Mizigo toka Congo na Zambia hasa Copper.
Walitakiwa waitengeneze Kwa Kiwango Cha SGR.
hii mitumba itafika lini bandarini?
Tazara inapita jirani na congo ni rahisi kupeleka mizigo to the nearest pick up point. Na pia Zambia na Congo wana expand network yao ya reli to link up with Tazara.kwani Tazara pia inafika Congo? jaribu kua realistic kidogo... Wachina wanaikwepa sana Sgr kwa maana wanajua wazi inaenda kufa kifo cha mende!
Feel it πhii mitumba itafika lini bandarini?
Tanzania to deploy double-decker coaches in SGR network
A total of 30 double-decker wagons from discarded Deutsche Bahn AG stock and two locomotives are reportedly being shipped from Germany island of RΓΌgen to Tanzania.www.thecitizen.co.tz
Hii habari mmeandika kwa wivu na chuki. Eti discarded! Haya yalikuwa yanafanya kazi vyema sana na tumenunua 30 wagins and locomotives kwa bei nafuu na tumezifanyia ukarabati mkubwa.hii mitumba itafika lini bandarini?
Yaani watu hawaogopi kukaa na kujifananisha na Tanzania?π
Reli ina so many type of cars and locomotives, EMU achilia mbali Reli ni Ndefu kulilo midomo ya Wakundustan π ikielekea kuunganisha nchi kibao.
Hapo hujaongelea TAZARA pia inayounganisha hadi South Africa, yaani watu hawaogopi kabisa? Kweli kuna mafuvu mabovuπ
Kiufupi hatufanani na Mbwa yoyote ukanda huu π Happy weekend.
wacha tuone πZambia na Congo wana expand network yao ya reli to link up with Tazara.
wacha wendawazimu. mtumba??? π©π©π©Feel it π
Ni rahisi kuitoa Mizigo toka Congo mpaka Zambia, kuliko kutoa Mizigo Congo mpaka Dar es salaam Kwa Barabara.kwani Tazara pia inafika Congo? jaribu kua realistic kidogo... Wachina wanaikwepa sana Sgr kwa maana wanajua wazi inaenda kufa kifo cha mende!
and the distance???Ni rahisi kuitoa Mizigo toka Congo mpaka Zambia, kuliko kutoa Mizigo Congo mpaka Dar es salaam Kwa Barabara.
unamlilia nani sasa?Hii habari mmeandika kwa wivu na chuki. Eti discarded! Haya yalikuwa yanafanya kazi vyema sana na tumenunua 30 wagins and locomotives kwa bei nafuu na tumezifanyia ukarabati mkubwa.
Acheni wivu kwenye vyombo vya habari mnavyomiliki
hili ni gazeti la Kenya na hayo majina wanayapachika tu Wakenya ilhali editors na waandishi ni wao.
πππ endelea kuliahili ni gazeti la Kenya na hayo majina wanayapachika tu Wakenya ilhali editors na waandishi ni wao.
wacha kuotaHawa ndiyo tukikaa pamoja tunaongea lugha moja. Siyo wale nishati ya visukuku
π
Tesla launches world's first all-electric 'Giga Train' with mind-blowing passenger capacity β and it's free to ride
"It is simply in line with our company mission: to accelerate the transition to renewable energies."www.yahoo.com
Hivi wewe huu upuuzi utaacha lini?ππππ
View attachment 3090188