Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Sasa mkuu kwa mwendo huo hata hao wafanyakazi wao watakua na morali kweli au ndio Punda afe mzigo ufike.

Kuna jamaa yangu aliingia pale mwaka juzi ila kila tukionana analalamika tu na kutaka kuhama.
Wawalipe wafanyakazi wao vizuri otherwise hapo mradi utakua bora liende tu na maana morali ndogo sana za wafanyakazi wao
 
ivi mabehewa ya ghorofa mbona ayajaanza kazi mpaka leo wakati ndo ya kwanza kufika shida ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…