Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nyangau sisi tu overlook treni ya mizogo halafu tutandaze reli ya axle load 35 tons na nyie yenu mlipanga iwe ya mizigo mkaweka axle load ya 25 tons π€£π€£π€£π₯±π₯±π₯±π
Speed ya kobe lazima ulale hakuna jinsi π€£π€£π€£luxury at its finest π
View attachment 3182996
View attachment 3182997
View attachment 3182998
View attachment 3182999
Nyie ndio maana mliishia kuwa na treni la mafuta maana mngekuwa na treni za dizain yetu, Africa isn\inge pumua!
we kweli kichaa!!Nyie ndio maana mliishia kuwa na treni la mafuta maana mngekuwa na treni za dizain yetu, Africa isn\inge pumua!
we kweli kichaa!!
ulitaka tuwe level moja na nyinyi kushindana kulala porini kila siku?
hivi hujui kwamba reli ya Kenya ilijengwa primarily for cargo na sio passengers na kwa hio diesel locomotives have a better advantage?
acha kua mbumbumbu mzungu wa reli.
msikilize Benjamin Fernandez hapa kidogo π
View: https://x.com/lemmeEmKnow/status/1852828118010261882
we kweli kichaa!!
ulitaka tuwe level moja na nyinyi kushindana kulala porini kila siku?
hivi hujui kwamba reli ya Kenya ilijengwa primarily for cargo na sio passengers na kwa hio diesel locomotives have a better advantage?
acha kua mbumbumbu mzungu wa reli.
msikilize Benjamin Fernandez hapa kidogo π
View: https://x.com/lemmeEmKnow/status/1852828118010261882
π€£π€£π€£π€£π€£ naona bado unaendelea kukaza fuvu wakati ukweli unaujua.Sasa masuala haya na reli yanahusianaje?
Kubali tu kuwa kwenye reli mmefeli.
No way ufananishe reli ya Tanzania na Kenya no way.
Endelea kujifurahisha broo.π€£π€£π€£π€£π€£ naona bado unaendelea kukaza fuvu wakati ukweli unaujua.
chuki haisaidii πππEndelea kujifurahisha broo.
No way nginja nginja ya masaa nane ufananishe na treni yenye utulivu ya masaa matatu.