Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kweli hyu jamaa anawatesa akili zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila siku mnamfikiria tu
Mi nimeacha kum-engage baada ya kumuelewa. Yani Kenya masomo yote toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu lugha ya kufundishia ni kingereza. Tuseme Jumla miaka 12 usipoenda chuo na Unakuta mtu bado anaongea broken ya "an hotel" analinganisha vitu anasema "is best"! Saivi tena "you beats us". Alafu alipoona kutumia "the" ni kwenye "slaughtering THE albinos!! Kweli?!
Huyo siwezi kujibizana nae halo
 
Yeah, I agree that you beats us in killing innocent children and slaughtering the albinos.
Kwa hii miaka mitano ya Rais magufuli Embu nikumbushe nafas tulizopanda kiuchumi.
Maana tulivuka nafasi sita au saba embu nikumbushe bob???
 
Hahaha I know you have used your 1% to write something like this.
Jamaa wamekariri hadi lugha za watu....!!
IMG_20190728_121539_333.JPG
 
Kwa hii miaka mitano ya Rais magufuli Embu nikumbushe nafas tulizopanda kiuchumi.
Maana tulivuka nafasi sita au saba embu nikumbushe bob???
Are you seeing this? 23m poor people, Kenya only has 8m
IMG_20190729_100124_733.JPG
 
I don't engage with witches and sorceres please.
Mi nimeacha kum-engage baada ya kumuelewa. Yani Kenya masomo yote toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu lugha ya kufundishia ni kingereza. Tuseme Jumla miaka 12 usipoenda chuo na Unakuta mtu bado anaongea broken ya "an hotel" analinganisha vitu anasema "is best"! Saivi tena "you beats us". Alafu alipoona kutumia "the" ni kwenye "slaughtering THE albinos!! Kweli?!
Huyo siwezi kujibizana nae halo
tapatalk_1561915370701.jpeg
tapatalk_1561915366298.jpeg
 
Usizuge bwana mbukinya
You've been studying in english since standard 1,then it's 12... Still english bothers!! ..what a wonderful man..!
Lol. What is "studying in English"? Kumbe I'm not wrong to say you use 1% of your brain to reason.
IMG_20190728_121539_333.JPG
 
Babaaa..duh!!we ndio umeua kabisa yani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]km vile unakariri shairi...maskini...kingereza jamaa si cha kujisifia...we km utajiskia kuongea ongea tu...na mwenzako akikosea usijitie mbabe...haya angalia umeumbuka sasa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Usizuge bwana mbukinya
You've been studying in english since standard 1,then it's 12... Still english bothers!! ..what a wonderful man..!
 
Haya ss Kitu icho cha Dodoma, Sgr station kuliko zote Tz, Kenya, Ug, vistation vyote vibanda tu, Dodoma hoyeee
IMG_20190730_074218_597.JPG
 
Back
Top Bottom