Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,252
Acha siasa, tatizo lako nikupenda ubishi usio na msingi halafu hutaki kueleweshwa na watu wanaoelewa haya mambo kiundani. Usipokuwa mstaarabu soon tutaanza kuignore maswali yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo serious kabisa.
Show us wapi itapita njia ya SGR Kutoka bandarini na itaungana wapi ? Buguruni ? Pugu? Soga?
Tangu juzi nime kupeni challange wapi kipande hicho kitakua joined hamna jawabu.
Au ndio philosophy ya mradi kuacha kitendawili tega
Hamko serious
Hata kuipeleka SGr mwanza ni umimi tu nyumbani kwanza but sio sababu za kiuchumi haswa.
Mtaelewa tu
Sent from my iPad using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app