Mkuu Gezaulole naomba huyo jamaa umpuuze tu nimegundua ana maneno ya mtaani sn, eti port expansion ni mradi wa jakaya na mbn pesa hazikutoka kipindi chake? Jakaya ni km viongozi waliotangulia huwezi kuwalinganisha na Jpm hata kdg japo ni muhimu nao kuwapa heshima yao lkn katu hawakai siti moja na jiwe katu nakwambia, hatuwezi kupata kiongozi wa kaliba ya Jpm kwa miaka mingi ijayo, mambo mengi tuliyodhani hayawezekani Magu kayafanya kuwa ya kawaida barabara za lami mitaani tena uswahilini zimejaa, wengine watakwambia kwmb ni World Bank, ss mbn hyo WB haikuwepo enzi za hao viongozi waliotangulia? Wengine wasio na fadhila wameanza kuambukizana misemo iliyokosha heshima kwa jemedari Jpm wanakuambia eti hakuna haja ya kumsifia Magu kwa kuwa anatimiza wajibu wake, Dah waafrika cc hatuna fadhila hata kdg laiti wangejua hizo pesa from WB Magu ana uwezo wa kuziweka mfukoni na hakuna kunguni yyte wa kumpigia kelele na isitoshe WaTz co wafuatiliaji wangekaa kmya tu, km hamuwezi kumpa heshima yake kwa aliyoyafanya mpk ss basi Mungu atatulani sn cc WaTz, hamuoni raia wa nchi zngne wanavyofanywa na viongozi wao mfano kenya tu hapo, acheni maneno maneno tumpe heshima yake Magu amejitahidi sana mzee wa watu.