Yaani juzi nilikuwa hapo Dar,hicho kipande cha Buguruni kinakatisha tamaa,ibavyoonekana pale mpaka mwezi wa 5 au 6 hivi.
0-15 km and other unfinished km for freight will take more than 3 months to be completed. nkuruma (gold star) plus ishu za umeme (catenary) zitachukua mda
ni kweli, hata mim nilijua hii kazi haiwezi kumalizika april.. expectation yangu ni wamalize mda wowote lkn december, 2021 treni iwe inatembea