Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Walikuwa wanasema kuwa trains zao zitakuwa za aina ya ITX😂😂😂🤣🤣. With the allocation of $60M I won't be surprised if they get trains that are more ugly than the Ethiopian trains😂😂🤣Hehehe. Kuna jamaa alikuwa anaitwa joto la jiwe. Jamaa alikuwa anapost picha za bullet train mpaka tunatishika. Lakini deep down nilijua tu hawa Malazy hawawezi kuafford bullet train. Nilijua tu ilikuwa ni sifa za kijinga. Bullet train kama ya Japan (Shikansen) ndio walikuwa wanapost