Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #14,821
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Tutafanya🇹🇿" vs "tunafanya🇰🇪"
View attachment 2397207View attachment 2397208View attachment 2397209View attachment 2397210
Come back to reality. These are what you have 😂😂
🤔😂burret train!🇹🇿Hapa kazi tu😃
Naimagine ikiwekwa kwenye reli ipewe stima😂sauti zgizigizgizgi mpaka mwisho you can imagine it's speed🐌🐌🐌🐌zgizgizigi💥🇹🇿
Hiyo stima kwanza watatoa wapi? Kama saa hii ndio wanafanyiwa power rationing, sasa hiyo kuendesha train without interruption ndio watakuwa nayo?😂😂Naimagine ikiwekwa kwenye reli ipewe stima😂sauti zgizigizgizgi mpaka mwisho you can imagine it's speed🐌🐌🐌🐌zgizgizigi💥🇹🇿
🙈no wonder naona mitungi ya changaa pia chini ya hio reli😂diesel???wako pia na back up wameeka hawaamini stima yao😆Hiyo stima kwanza watatoa wapi? Kama saa hii ndio wanafanyiwa power rationing, sasa hiyo kuendesha train without interruption ndio watakuwa nayo?😂😂
And you still believe in what your politicians told after mmengoja kuona trains since 2019 and finally hizi ndio zimekam?😂😂😂Mmeanza kupanic..na EMU hazijaingia hayo ni mabehewa tu yanavutwa na engine ya either EMV au whatever..issue ni yakoje ndani..tumeshaona hayo ya 3rd class yako vizuri..so sijui mnbwata nini yani
there will be 2 types of locomotives
EMV ambayo yanavuta mabehewa
EMUs ambazo ni set tayari zenye mabehewa
Yetu yana tv pia angalia roof work! Huwezi-compare na nginjanginja yenu!
Yetu yana tv pia angalia roof work! Huwezi-compare na nginjanginja yenu!
Reli yetu ianze kufanya kazi kwanza mengine ni rahisi sana!Mmeanza kupanic..na EMU hazijaingia hayo ni mabehewa tu yanavutwa na engine ya either EMV au whatever..issue ni yakoje ndani..tumeshaona hayo ya 3rd class yako vizuri..so sijui mnbwata nini yani
there will be 2 types of locomotives
EMV ambayo yanavuta mabehewa
EMUs ambazo ni set tayari zenye mabehewa
TV ziko hadi kwa Matatu za Nairobi so acha kuturingia vitu vya ufala wewe🤣🤣😂
Tv ni ya kazi gani sasa? Hata huna aibu kujigamba na Tv moja of 14" in a couch of 80 passengers.Kwenye garimoshi hamna!