makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Machache ninayoyaona kwenye sgr, toka moro kwenda dar.
Kwanza warekebishe mfumo wao wa ukataji tiketi kuna ka changamoto website yao kuna muda huipati, na unakata siti 4A, Kisha inakuja kuonekana ni namba 10 badala ya 4A.
Halafu waachane na masuala ya kuprint ticket, mie nishakata ticket online naambiwa ni print trna mkaratasi, mambo ya hovyo haya
Pili wabongo tujifunze/tupendelee kukata tiketi online, masuala ya dirishani yamepitwa na wakati, mpaka treni inakaribia kuondoka watu wengi hawana tiketi imebidi wapande hivyo hivyo wanakuja kukatia ndani ya treni huu ni uhuni.
3 hapa sijui mie ni mshamba, nimezoea treni ya deluxe ile na mabasi, hata ile ya tazara, viti vilivyokaa unapotizama mbele ndio uelekeo wa treni, sasa humu nimekaa siti zinaangalia mbele, kisha treni inakwenda nyuma, kama navutwa vile 🤣😂😂
Muda wa kuondoka tumeondoka muda ule ule ulioandikwa, sijajua muda wa kufika tutashare.
Kwanza warekebishe mfumo wao wa ukataji tiketi kuna ka changamoto website yao kuna muda huipati, na unakata siti 4A, Kisha inakuja kuonekana ni namba 10 badala ya 4A.
Halafu waachane na masuala ya kuprint ticket, mie nishakata ticket online naambiwa ni print trna mkaratasi, mambo ya hovyo haya
Pili wabongo tujifunze/tupendelee kukata tiketi online, masuala ya dirishani yamepitwa na wakati, mpaka treni inakaribia kuondoka watu wengi hawana tiketi imebidi wapande hivyo hivyo wanakuja kukatia ndani ya treni huu ni uhuni.
3 hapa sijui mie ni mshamba, nimezoea treni ya deluxe ile na mabasi, hata ile ya tazara, viti vilivyokaa unapotizama mbele ndio uelekeo wa treni, sasa humu nimekaa siti zinaangalia mbele, kisha treni inakwenda nyuma, kama navutwa vile 🤣😂😂
Muda wa kuondoka tumeondoka muda ule ule ulioandikwa, sijajua muda wa kufika tutashare.