Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
hebu amka haraka upesi ww. get out of your slumber 😂😂😂Hapa uhakika wa kuifikisha malaba Bado hawana.
By the time wanaanza ujenzi sisi tutakuwa tunaunganisha na rwanda
unaishi sayari gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu amka haraka upesi ww. get out of your slumber 😂😂😂Hapa uhakika wa kuifikisha malaba Bado hawana.
By the time wanaanza ujenzi sisi tutakuwa tunaunganisha na rwanda
tuma picha yake nione
'Sisi' ni ww na nani?Sisi tunakupa na evidence acha umburula hiyo hapo ni DF 11 locomotive toleo kuanzia mwaka 1992 mpaka 2005 Lina HP 5180Weiterleitungshinweis
www.google.com
Tuma yako'Sisi' ni ww na nani?
tuma hapa picha ya hio Tanzania Sgr Freight Locomotive nataka kuiona.
wacha vituko.
Baada ya kugundua locomotives zenyu zina horsepower kiduchu! Mchina aliwachamba madole kwelikweli! 😀 😀 👍 👍'Sisi' ni ww na nani?
tuma hapa picha ya hio Tanzania Sgr Freight Locomotive nataka kuiona.
wacha vituko.
😂😂😂 umepanic?Tuma yako
Juzi EAC Secretary General mkenya kaomba po anasema EAC tusishindane humu ndani bali tushirikiane.Hapa uhakika wa kuifikisha malaba Bado hawana.
By the time wanaanza ujenzi sisi tutakuwa tunaunganisha na rwanda
Ipi unataka ya bichwa la ngombe au?tuma picha yake nione
Hizo zinazovuta pasengers coaches ndio hizohizo za mizigo. Hii haina shida kwasababu tunatumia electricity moja kwa moja. Zingekuwa za diesel ndio kungekuwa na pasengers locomotives na goods locomotives engine ya pasengers ingekuwa ndogo ili ku save gharama.'Sisi' ni ww na nani?
tuma hapa picha ya hio Tanzania Sgr Freight Locomotive nataka kuiona.
wacha vituko.
Hii hapa 👇'Sisi' ni ww na nani?
tuma hapa picha ya hio Tanzania Sgr Freight Locomotive nataka kuiona.
wacha vituko.
🤣🤣🤣🤣🤣 yaani unachekesha sana kwa stories zako za kutunga.Juzi EAC Secretary General mkenya kaomba po anasema EAC tusishindane humu ndani bali tushirikiane.
Kila nchi inafanya jitihada za kuboresha mazingira ya biashara sasa kwa mtazamo wake na wa wakunya wengi wao wanaona kama competition yaani ukishagusa kwenye maslahi yao wao tayari ni competition 🤣🤣🤣🤣
Hizo zinazovuta pasengers coaches ndio hizohizo za mizigo. Hii haina shida kwasababu tunatumia electricity moja kwa moja. Zingekuwa za diesel ndio kungekuwa na pasengers locomotives na goods locomotives engine ya pasengers ingekuwa ndogo ili ku save gharama.
angeulizwa CoW ilianzishwa na nani?Juzi EAC Secretary General mkenya kaomba po anasema EAC tusishindane humu ndani bali tushirikiane.
Kila nchi inafanya jitihada za kuboresha mazingira ya biashara sasa kwa mtazamo wake na wa wakunya wengi wao wanaona kama competition yaani ukishagusa kwenye maslahi yao wao tayari ni competition 🤣🤣🤣🤣
Mbona unacheka kichoko?