Hutaki au ubishi wa kitoto tuu?connect me to your plug 😂
wacha mchezo kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki au ubishi wa kitoto tuu?connect me to your plug 😂
wacha mchezo kijana
From 2014 MGR ilikuwa upgraded with assistance from WB through a project called Tanzania Intermodal Rail Project TIRP -1 now tumepata funding ya phase two TIRP-2.source?
View: https://youtu.be/6P7lcl82zYI?si=XJX37TodccSlJcIw
Stendi kuu ya mabasi ya jijin Nairobi yenye gdp kubwa kuliko Tanzania nzima 🤣🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/PJ7GNlbCT80?si=h1_LNdcx8efP4iGZ
Nyegezi bus terminal
View: https://youtu.be/6P7lcl82zYI?si=XJX37TodccSlJcIw
Stendi kuu ya mabasi ya jijin Nairobi yenye gdp kubwa kuliko Tanzania nzima 🤣🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/PJ7GNlbCT80?si=h1_LNdcx8efP4iGZ
Nyegezi bus terminal
Kwahiyo hii comparison ni Tanzania vs Indonesia sio Kenya tena au ndio mmeomba msaada Indonesia 🤣🤣🤣🤣Yani wewe ndo umedanganya.
Yani ni ulivyosema ni sawa na
Tanzania tuna SGR ya design speed 160km/h.
Afu tulete train ya Kichina inayoitwa "CR400AF" ambayo ipo indoneshia inajulikana kwa jina la "Whoosh" high speed train iliyotengenezwa na
"CRRC Qingdao Sifang Co., Ltd. Kutoka Shandong province" ambayo inatembea speed ya 450km/h.
View attachment 3083094
Hafu hio treni tuilete hapa TZ kwenye SGR yetu , kisha useme treni yetu inatembea kwa speed 450km/h.
Afu ujitete kwa kusema treni inaspeed hio ila reli yetu ya SGR design yake inakubali 160km/h.
Afu kwa hakina Meter gauge railway tena kwa treni ya mizigo iende ya speed ya 120km/h hii ni ngumu kwa hakika. Tena hata ikirekebishwa hii ikaweka mpya. Tena ipitishwe humo humo Tena, mmmm ni ngumu kwenda speed ya 120km/h Tena ya mizigo. Sasa kama behewa 41 zinasaidiana na vichwa kingine.
Nachofaham ni kuwa tren inayopita kwenye MGR haiwez kupita kwenye SGR sababu miundombinu ya hizo train ni mahsusi kwa aina ya reli flaniMimi nadhan hujamwelewa , anachomaanisha ni kuwa engine za trc zinauwezo wa kutembea spidi ya mpaka 140km/hr ila kutokana reli ya mgr kutokuwa na uwezo wa kuhimili hiyo speed haziwezi kutembea kwa hiyo speed maana reli inahimili speed ya 70km/hr ila ukikichukua kichwa kama hicho ukakipeleka kwenye reli inayohimili speed hiyo kitatembea tu
Unajifariji kwa kuongea pumba!??bumbumbu hilo. linadhani likiandika maneno mengi ndio linatoa pointi nyingi kumbe ni uharo wa bata. nlishamsoma zamani sana, hajui lolote. yupo na ajenda zake anataka kuzipitisha humu lakini namkwepa.
hebu cheki hapa 👇
View attachment 3082945
Ile habari ya Lamu to Gabon imeishia wapi ama ni hype tuu.USA wamejitosa Kwenye central corridor
![]()
US taps Tanzania for infrastructure plan in battle with China for minerals
Washington wants to tap into the country's minerals, particularly its nickel mines.www.thecitizen.co.tz
Kenya wapo kisiasa na upigaji kwa wingiIle habari ya Lamu to Gabon imeishia wapi ama ni hype tuu.
Wanatujua vizuri sana sisi si wamchezomchezo upuuzi wao mwisho mombasa huku tunajielewa we have our own agenda na misimamo.USA sio wa kuwaamini.
Watu ambao huwa siwaamini wakwanza hawa jamaa.
Inaweza ikapita kama configuration ya wheels itaruhusu kuna treni zina dual wheels inatumia gauge zaidi ya moja.Nachofaham ni kuwa tren inayopita kwenye MGR haiwez kupita kwenye SGR sababu miundombinu ya hizo train ni mahsusi kwa aina ya reli flani
Hajielewi huyo anachanganya mambo.Kwahiyo hii comparison ni Tanzania vs Indonesia sio Kenya tena au ndio mmeomba msaada Indonesia 🤣🤣🤣🤣
Engine huwa zinaundwa kuendana na spec ya reli.Nachofaham ni kuwa tren inayopita kwenye MGR haiwez kupita kwenye SGR sababu miundombinu ya hizo train ni mahsusi kwa aina ya reli flani
SGR Mombasa-Kisumu imeishia Naivasha sembuse Lamu-Gabon? Be realistic SGR Dar-Gitega-Kindu itafika DRC kabla ya hata hiyo ya SGR Mombasa-Naivasha haijafika Kisumu!Ile habari ya Lamu to Gabon imeishia wapi ama ni hype tuu.
Unataka nichonganisha na wakenya weweWaambie Nyegezi ni over 1000km from Dar 😁
Hapo Hela ambayo Bado kutoka ni ya uvinza mpka Gitega huku wenzetu ndo kwanza wanatafuta mdhamini wa kutoka Naivasha mpaka MalabaSGR Mombasa-Kisumu imeishia Naivasha sembuse Lamu-Gabon? Be realistic SGR Dar-Gitega-Kindu itafika DRC kabla ya hata hiyo ya SGR Mombasa-Naivasha haijafika Kisumu!
Nimemwambia aniletee kithibitisho kokote kule duniani kuwa MGR locomotive inavuta mizigo kwa speed ya 120km/h tena kwa mabehewa 100. Nimemuwekea video hapo locomotive wanavyosema hivyo vya TRC tena wamenunua kutoka Malaysia ni aina ya H10. Video inaonyesha inavuta mabehewa 41 na wamefunga locomotive 2 na vyote vinasaidiana kusukuma na sio locomotive moja. Na hio utasema uchakavu wa reli?Mimi nadhan hujamwelewa , anachomaanisha ni kuwa engine za trc zinauwezo wa kutembea spidi ya mpaka 140km/hr ila kutokana reli ya mgr kutokuwa na uwezo wa kuhimili hiyo speed haziwezi kutembea kwa hiyo speed maana reli inahimili speed ya 70km/hr ila ukikichukua kichwa kama hicho ukakipeleka kwenye reli inayohimili speed hiyo kitatembea tu