Mbu.........kwa maelezo ya Dada ni kuwa walishawahi kutoka mara nyingi tu......lakini hawajawahi kugusana. Sasa hapa siwezithibitisha kama ni kweli au la ingawa nahisi kama kuna ya ziada vile!!....
Kweli NN yaani watu hawaheshimu kabisa ndoa zaoNimegundua kitu kwenye hii mada. Watu hawaheshimu kabisa ndoa! Inatisha sana aisee. Nawasikitikia wote mlio kwenye ndoa.
Nyamayao kumbuka kuwa dada yake MJ1 ameolewa pia TWO WRONGS CANT MAKE IT RIGHT.au dini ya mkaka inamuwezesha kuoa mke wa pili?
kwa hiyo ni kama huyu kaka alioaga tu ilimradi kuziba gap coz ampendae alikuwa mbali nae kwa wakati huo(ulaya)...cjui kama Mj1 nimekupata vzr ndio mana nilikuwa nasita kuchangia.
Mbu.........kwa maelezo ya Dada ni kuwa walishawahi kutoka mara nyingi tu......lakini hawajawahi kugusana. Sasa hapa siwezithibitisha kama ni kweli au la ingawa nahisi kama kuna ya ziada vile!!....
Nyamayao kumbuka kuwa dada yake MJ1 ameolewa pia TWO WRONGS CANT MAKE IT RIGHT.
au dini ya mkaka inamuwezesha kuoa mke wa pili?
Nyamayao kumbuka kuwa dada yake MJ1 ameolewa pia TWO WRONGS CANT MAKE IT RIGHT.
hapana Mwj1, huko tulishapita nikakuelewa vizuri tu.
Nazungumzia kilio cha jana huko faraghani...
Huyu kaka anataka iweje?...haiwezekani mtu mzima alie tu bila kusema alilo nalo moyoni.
Anakusudia kumuoa, au wawe wanaibia penzi tu?
Okay thanks Mbu kwa kunisahihisha huyu jamaa kuna kitu anataka hapo si ajabuTF, dada'ke Mwj1 hajaolewa bana, kazaa tu na mtu.
................nyamayao siku hizi hakuna cha kuruhusiwa na dini tena yaani kama ni dini basi siku hizi kila mtu ni mwislamu maana haya yanafanyw ana wakristo kabisa. Dini ya huyu bwana haimruhusu wake zaidi ya mmoja.
tuachie mbali machozi...dada alishawahi kumuuliza huyu kaka kama wanataka wawe wapenzi wa namna gani?nyumba ndogo yake?sioni sababu ya kujichosha hivyo huyo kaka ni nn? naona na dada nae yupo kama huruma inamkaribia kisa katoa machozi, angemuuliza maswali kadhaa yenye uzito huyu kaka acngemsumbua tena dada coz sioni sababu ya huu uhusiano kujirudia wakijua kabisa ni furahisha mwili....
................nyamayao siku hizi hakuna cha kuruhusiwa na dini tena yaani kama ni dini basi siku hizi kila mtu ni mwislamu maana haya yanafanyw ana wakristo kabisa. Dini ya huyu bwana haimruhusu wake zaidi ya mmoja.
The Finest........Dada alizaa tu hakubahatika kuolewa
Heheheheeee ni bora ukae tu hivyo hivyo bila kujua kuwa unaibiwa. Lakini jua kuwa uwezekano wa kuibiwa upo tena mkubwa tu maana uaminifu wa mtu kwenye ndoa au mahusiano ni siri yake moyoni!
...............Mbu mi ctaki............yaani najaribu kumpigia picha yule mbaba jamani akiwa analia hivi..sometimes nahisi kama dada kaongeza chumvi kwenye hadithi yake!......Mwe
................nyamayao siku hizi hakuna cha kuruhusiwa na dini tena yaani kama ni dini basi siku hizi kila mtu ni mwislamu maana haya yanafanyw ana wakristo kabisa. Dini ya huyu bwana haimruhusu wake zaidi ya mmoja.
tuachie mbali machozi...dada alishawahi kumuuliza huyu kaka kama wanataka wawe wapenzi wa namna gani?nyumba ndogo yake?sioni sababu ya kujichosha hivyo huyo kaka ni nn? naona na dada nae yupo kama huruma inamkaribia kisa katoa machozi, angemuuliza maswali kadhaa yenye uzito huyu kaka acngemsumbua tena dada coz sioni sababu ya huu uhusiano kujirudia wakijua kabisa ni furahisha mwili....
.........Yaani nyamayao mie kama nilivyosema nimebaki natoa mijicho tu ka tukutuku gizani............ hata sidhani kama aliuliza maswali haya maana kwa maelezo yake ni kuwa mkaka alianza kumweleza jinsi alivyohangaika kumwonyesha anampenda tangu zamani (akaanza kunarrate stories na kutoa scenerios kibao huku yakimmiminika......sasa sijui dada ni ile guilty consciousness au vipi maana ni kweli alikuwa anamwignore na anasema kuna wakati aliwezasms zaidi ya mwezi asijibiwe (yaani dada harespond ili kumkatisha tamaa) Sasa kinachonishinda mie ni kuwa kwa sasa hivi huyu mkaka anataka iweje!! Na cha kuchekesha anamtreat mtoto wa dada (ambaye ni mkubwa kwa wanae) kama mwanae loh...........eti dada anasema kuwa huwa anasema yeye ni baba wa watoto .... including wa dada. (I hope wahusika hwaijui JF mbona ntakoma!)
Samahani wakuu, nlikuwa nimetoka kidogo.
Kwahiyo mmekubaliana kuwa jamaa liendelee kulia au dadake mj1 aligawie kitumbua ili dume lisiendelee kulia?
Nimemkumbuka TX Moshi (RIP) ghafla........."ukiona mtu mzima analia, ujue kuna jambo"
Samahani wakuu, nlikuwa nimetoka kidogo.
Kwahiyo mmekubaliana kuwa jamaa liendelee kulia au dadake mj1 aligawie kitumbua ili dume lisiendelee kulia?
Nimemkumbuka TX Moshi (RIP) ghafla........."ukiona mtu mzima analia, ujue kuna jambo"