Eti bro, ni nani kati ya my wives unamtaka maana naona kutwa kuchwa huachi kunisimanga. Sema ka vipi nkuachie wote maana nina mpango wa kuwaacha wote niende zangu kwa Kipipi mie...
Unataka kumwacha nani wewe ujui kuwa ulikuwa kiapo mbele ya mashahidi pale kanisani kuacha sahau kabisa? kama ulikuwa hujui kuwa umekwama sasa ona UMEKWAMA na ACHA KURATIBU WATU HAPA
nataka kuwaongeza tu mamii...kama tulivyoongea.
Huko najua tu kaenda Meatu kwa mkewe wa zamani lolsihitaji hata maombi yako, Mr Rocky amesafiri kikazi,
tena huko aliko hakunaga hata internet.
Hivi Chocs bado yuko kichwani mwako?Mamndenyi...usimsikilize huyu jamaa, anaanza kuhangaika, tu! muda si mrefu newa isembo..
Anakurubuni tu ladyfurahia achana nae kwanza usipokuwa makini na Excellent nae atakutema kwa kutokuwa na misimamo. Au umelishwa mizizi kwa Mentor ?Uliongea na mm lini wakati tangia jmosi iliyopita hukuwa home kabisa mpaka nilalame hovyo humu ukumbini ndipo ujitokekze na kusema kuwa umeongea na mm wakati sio, kwanini unanifanyia hivyo mentor nimekukosea nn mtoto wa mwenzio kuniacha na kulala pekeyangu jumba lote lile? mpaka nashawishika kumrudi mwandani wangu wa zamani, weweweeeee
uliongea na mm lini wakati tangia jmosi iliyopita hukuwa home kabisa mpaka nilalame hovyo humu ukumbini ndipo ujitokekze na kusema kuwa umeongea na mm wakati sio, kwanini unanifanyia hivyo mentor nimekukosea nn mtoto wa mwenzio kuniacha na kulala pekeyangu jumba lote lile? Mpaka nashawishika kumrudi mwandani wangu wa zamani, weweweeeee