Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

sasa kaka mm nifanyeje tunakwenda kwenye baraza la usuluhishi kwa wazee tunasuluhisha lakini bado anaendelea tena, tunakwenda kwenye jopo la waheshimiwa kule MADODO wanatusuluhisha tukirudi tu kwenye meli anarudia vilevile tabia yake ya kuniletea mabibi hawa mara leo kaja mwembamba, mara kesho mnene, keshokutwa mfupi kama pimbi mtondoo gooo kaja mrefu ilmradi karaha yani si bora amalizane nao huko kuliko kuniletea ndani ya home

nimechoka kabisa hii hali ya kuniletea mke mwenzangu ndani ya nyumba si jambo la kushangaza hilooooooooo, kinachoniuma moyoni ni kulala sebuleniiiiix2 mm na watoto mamaaaaax2


hebu waangalie watu wenyewe anaoniletea home hawa hapa niliwapiga picha pasipo wao kujua
Lol kweli we mjanja
Umeona kwa Mentor hapasomeki umehamia zako Airtel ( Excellent )
 
sasa kaka mm nifanyeje tunakwenda kwenye baraza la usuluhishi kwa wazee tunasuluhisha lakini bado anaendelea tena, tunakwenda kwenye jopo la waheshimiwa kule MADODO wanatusuluhisha tukirudi tu kwenye meli anarudia vilevile tabia yake ya kuniletea mabibi hawa mara leo kaja mwembamba, mara kesho mnene, keshokutwa mfupi kama pimbi mtondoo gooo kaja mrefu ilmradi karaha yani si bora amalizane nao huko kuliko kuniletea ndani ya home

nimechoka kabisa hii hali ya kuniletea mke mwenzangu ndani ya nyumba si jambo la kushangaza hilooooooooo, kinachoniuma moyoni ni kulala sebuleniiiiix2 mm na watoto mamaaaaax2


hebu waangalie watu wenyewe anaoniletea home hawa hapa niliwapiga picha pasipo wao kujua
Lol kweli we mjanja
Umeona kwa Mentor hapasomeki umehamia zako Airtel ( Excellent )
 
hawa hapa kaka Erickb52 waangalie warembo.jpg
 
Last edited by a moderator:
Unataka kumwacha nani wewe ujui kuwa ulikuwa kiapo mbele ya mashahidi pale kanisani kuacha sahau kabisa? kama ulikuwa hujui kuwa umekwama sasa ona UMEKWAMA na ACHA KURATIBU WATU HAPA
Eti bro, ni nani kati ya my wives unamtaka maana naona kutwa kuchwa huachi kunisimanga. Sema ka vipi nkuachie wote maana nina mpango wa kuwaacha wote niende zangu kwa Kipipi mie...
 
Unataka kumwacha nani wewe ujui kuwa ulikuwa kiapo mbele ya mashahidi pale kanisani kuacha sahau kabisa? kama ulikuwa hujui kuwa umekwama sasa ona UMEKWAMA na ACHA KURATIBU WATU HAPA

nataka kuwaongeza tu mamii...kama tulivyoongea.
 
Uliongea na mm lini wakati tangia jmosi iliyopita hukuwa home kabisa mpaka nilalame hovyo humu ukumbini ndipo ujitokekze na kusema kuwa umeongea na mm wakati sio, kwanini unanifanyia hivyo mentor nimekukosea nn mtoto wa mwenzio kuniacha na kulala pekeyangu jumba lote lile? mpaka nashawishika kumrudi mwandani wangu wa zamani, weweweeeee
nataka kuwaongeza tu mamii...kama tulivyoongea.
 
sihitaji hata maombi yako, Mr Rocky amesafiri kikazi,
tena huko aliko hakunaga hata internet.
Huko najua tu kaenda Meatu kwa mkewe wa zamani lol
Anakudanganya hapatikani hewani wakati mi nimeomeongea nae asubuhi hahahaaaa
Pole sana maana hakawii kuwa keshaenda kwa Dena Amsi mkewe wa siku zote lol
Pole sana Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi...usimsikilize huyu jamaa, anaanza kuhangaika, tu! muda si mrefu newa isembo..
Hivi Chocs bado yuko kichwani mwako?
Mi ndio Erickb52 mwingine kopikopi kiwatengu
Sikamatiki hata kwa Nuclear aisee
Maji marefu..nakuomba achana na mawazo ya kumiliki kokote nilikojiweka maana hutaambulia kitu zaidi ya kuumizwa moyo.
Kwa Chocs ni mfano ila na kwa Kipipi muulize mwananthropolojia anajua alichoambulia kule.

Copy kwa snowhite (Shemeji kwa Kipipi)
 
Last edited by a moderator:
Uliongea na mm lini wakati tangia jmosi iliyopita hukuwa home kabisa mpaka nilalame hovyo humu ukumbini ndipo ujitokekze na kusema kuwa umeongea na mm wakati sio, kwanini unanifanyia hivyo mentor nimekukosea nn mtoto wa mwenzio kuniacha na kulala pekeyangu jumba lote lile? mpaka nashawishika kumrudi mwandani wangu wa zamani, weweweeeee
Anakurubuni tu ladyfurahia achana nae kwanza usipokuwa makini na Excellent nae atakutema kwa kutokuwa na misimamo. Au umelishwa mizizi kwa Mentor ?
 
Last edited by a moderator:
aliniachia p.o. box
nikienda mjini ntamtumia barua.

Huko najua tu kaenda Meatu kwa mkewe wa zamani lol
Anakudanganya hapatikani hewani wakati mi nimeomeongea nae asubuhi hahahaaaa
Pole sana maana hakawii kuwa keshaenda kwa Dena Amsi mkewe wa siku zote lol
Pole sana Mamndenyi
 
uliongea na mm lini wakati tangia jmosi iliyopita hukuwa home kabisa mpaka nilalame hovyo humu ukumbini ndipo ujitokekze na kusema kuwa umeongea na mm wakati sio, kwanini unanifanyia hivyo mentor nimekukosea nn mtoto wa mwenzio kuniacha na kulala pekeyangu jumba lote lile? Mpaka nashawishika kumrudi mwandani wangu wa zamani, weweweeeee


unasubiri nini kufanya maamuzi sasa?, unangoja nini kuchukua hatua
iliyonyooka?acha kuogopa weka nia mbele na thubutu sasa ...........
 
Back
Top Bottom