Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Kana roho mbaya . . . hakapendi wengine wafurahi.?
Yaani kazi kuharibu tu mapenzi ya watu.

BTW, na we ebu acha maneno ya kitoto bana!

wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.

Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2:
 
Kana roho mbaya . . . hakapendi wengine wafurahi.?
Yaani kazi kuharibu tu mapenzi ya watu.

BTW, na we ebu acha maneno ya kitoto bana!

Mimi huyuhuyuuuu?
 
Wewe huyohuyo . . .
Kavurugaji mashuhuri.

Siku ya mwisho utakuwa na la kujibu!

Alokwambia kuna mwisho nani?
Mi nipo sana tu lol
Btw nakumiss kiukweli Kipipi
Ukipata muda niandikie japo barua kwenye P.o BOX
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.

Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2:

mmmmhhhh????? She is my sister remember,tread carefully meeeen
 

mbona unajitangazia ushindi mapema?,ungejua huyo Kipipi alishakubali sijui nini kimembadili mawazo ananigomea mlangoni ghetto wakati mi tayar nishavimba chin,ila sijakubal ngoja niendelee kubembeleza
 
Itabidi nikulipe mshahara kwa hii kazi uliyojipatia, hahahaha nina machungu ya kumkosa bwana ila imebidi nicheke

Mi nilikuambia njoo kwangu namimi niunde SACCOS km ya Madame B naona unasuasua tu km hujisomi vile
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…