Kana roho mbaya . . . hakapendi wengine wafurahi.?
Yaani kazi kuharibu tu mapenzi ya watu.
BTW, na we ebu acha maneno ya kitoto bana!
Mimi huyuhuyuuuu?
wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.
Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2:
Kana roho mbaya . . . hakapendi wengine wafurahi.?
Yaani kazi kuharibu tu mapenzi ya watu.
BTW, na we ebu acha maneno ya kitoto bana!
wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.
Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2:
Mimi huyuhuyuuuu?
Hivi Chocs bado yuko kichwani mwako?
Mi ndio Erickb52 mwingine kopikopi kiwatengu
Sikamatiki hata kwa Nuclear aisee
Maji marefu..nakuomba achana na mawazo ya kumiliki kokote nilikojiweka maana hutaambulia kitu zaidi ya kuumizwa moyo.
Kwa Chocs ni mfano ila na kwa Kipipi muulize mwananthropolojia anajua alichoambulia kule.
Copy kwa snowhite (Shemeji kwa Kipipi)
Copy kwa Mrembo by Nature na ladyfurahia
We Erickb52 acha ufitini!!
mbona unajitangazia ushindi mapema?,ungejua huyo Kipipi alishakubali sijui nini kimembadili mawazo ananigomea mlangoni ghetto wakati mi tayar nishavimba chin,ila sijakubal ngoja niendelee kubembeleza