Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

hivi nikufanyie nini wewe unielewe na kujua kuwa lady hapendi nini na anapenda nini kwanini unakuwa na utitiri wa wake nisiowajua humu mjengoni kwanini unanitenda hivyo kwann unanicheat kiasi hicho, kwanini unakuwa mtu wa aina hiyo mbona home hauonekani hivyo unakuwa mstaarabu sana na mtu asiyependa nishike simu yako hata inapoita kwa nguvu kwanini laikini nimekukosea nn mpaka unakuwa na nyumba ndogo kiasi hicho? bora nirudi kwetu nahisi nitaambukizwa haa jua naumia juu yako na siwezi sahau penzi lako.
 
Erickb52 tafadhali popote ulipo kanusha hayo maneno yako, mie na FP wapi na wapi. Tena usije ukanigombanisha na soul mate wangu akajua nimeanza tabiua mbaya, dushe zilivyo tamu hivyo ya nini niwe lesb...?
Kapo yangu mie ni soul mate wangu popote alipo aje pls maana huyu Erickb52 anataka changanya madawa looh
 
Last edited by a moderator:
hiyo zawadi naomba unipe mm na Excellent kwani naona sasa huyu mbaba amezidi kuwa na wake wengi humu mjengoni ninyoshe mikono juu Mratibu wa shindano hili sema suuuu! au niombe UTARATIBU KWANZA?
 
Last edited by a moderator:
sasa teja akiikuta hii je?
si anataka wengine hapa tufungiwe jf?
mana teja ana wivu ni balaa..... hapa anafwatilia kila post yangu....
dogo Erickb52 please, njoo ukanushe kabla sijapotea jf
 
Last edited by a moderator:
Hili neno
"Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
"
linamfaa zaidi Mentor kwani amezidi kuwa na wake lukuki na kunipa stress mwenzake sijiiui nimekosea nini kama kuna jambo si aniambie faragha kuliko kuorodhesha majike wake humu ndani ameniboa na kuniuzi sana
hiyo zawadi naomba unipe mm na Excellent kwani naona sasa huyu mbaba amezidi kuwa na wake wengi humu mjengoni ninyoshe mikono juu Mratibu wa shindano hili sema suuuu! au niombe UTARATIBU KWANZA?
 
Last edited by a moderator:
my cousin charminglady nisaidie mm naona nirudi kwetu Mwanza kwani naona hii ndoa ishanishinda bora nimrudie Excellent wangu sijui kama yuko tena yaani upendo wangu wote ninaounesha kwa shemejio Mentor imekuwa naambulia sufuri kwani ameanza kuanika majike wake hapa mjengoni nifanyeje best kwani nina uja......... wake? niende kulipoti USTAWI WA JAMII ?
 
Last edited by a moderator:
Ndio uache kumwendekeza Bishanga atakuharibia kwa sakapal na ukizubaa anakufanya matusi ooooh chezeya muhaya wewe

mmmmh aisee sikujua kama watu wanaruhusiwa kufanya hv, mods tafadhali siombi ban kwa Erickb52 ila nataka akanushe na arekebishe usemi wake otherwise kweli hata mie mwenyewe sitasubiria kuachika kwa soul mate wangu kwa ajili ya kashfa za Erickb52, ntaingia kati na bukta na zitapigwa ndondi za kufa mtu hapa ooohooooo, haya usijesema hukupewa nafasi ya kurekebisha.
 
Last edited by a moderator:
dada mkubwa FP hebu kerebisha usemi huu fasta!
my wee sakapal nini kinaendelea hapa kabla sijamwita pacha wangu SnowBall
sema nini kinaendelea hapa!
umeamua kumtolea chambavu pacha wangu kwa ajili ya solumeti wako nimenyamaza,
sasa ni nini hiki kinaeednelea hapa!
 
Last edited by a moderator:
Ndio uache kumwendekeza Bishanga atakuharibia kwa sakapal na ukizubaa anakufanya matusi ooooh chezeya muhaya wewe
Erickb52 umekunywa ngapi leo!
unajua umegusa maslahi yangu kwa kiasi kikubwa sana!
hizi kashfa dhidi ya mke wa kakangu sakapal na dadangu FP zinatokea wapi!
nakusue muda si mrefu! EMT nina kesi!
 
Last edited by a moderator:
Huyu mdogo wako naona ana maneno balaa hebu muite aje afunguke
 
Erickb52 umekunywa ngapi leo!
unajua umegusa maslahi yangu kwa kiasi kikubwa sana!
hizi kashfa dhidi ya mke wa kakangu sakapal na dadangu FP zinatokea wapi!
nakusue muda si mrefu! EMT nina kesi!
Hahahahaaa unajua ndovu za lunch time huwa tamu sana snowhite yan moja tu inamaliza memory yooote
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa labda nikazie tu kauli ila muhusika Bishanga anajua ni namna gani nimekutahadharisha
 
Last edited by a moderator:
sasa teja akiikuta hii je?
si anataka wengine hapa tufungiwe jf?
mana teja ana wivu ni balaa..... hapa anafwatilia kila post yangu....
dogo Erickb52 please, njoo ukanushe kabla sijapotea jf
Hahahahaa FP nitakanushaje ukweli?
Kama kuna zawadi ya ban niko tayari ila sifuti kauli
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa dada yangu ladyfurahia ni kweli hili neno linamfaa sana mumeo maana hajatulia hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…