Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
- Thread starter
- #101
Hahahahaaa we jidanganye tu kiwatengu
Hupati kitu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa we jidanganye tu kiwatengu
uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapa naomba mwongozo......
Haya sawakila la heri dogo....
Hahahaaa sasa naanza kutambua rasmi couple za JF na ndio ntaanza mchakato wa kubadili ushindi wangu ikibidi
Hahahahaaa ushauri ni kuambatana nae tu maana Madame B , kisukari na Maria Roza wanamuharibu mkeo na yale mambo ya vifanyio
Naam FP kapo zote ruksa kushiriki wawe straight, genge la anti bilali,malesbo.......wote ruksa......cc kiboko ya majukwaa hatumung'unyi hapa tunafyatuka tu.
poa, lini sasa?Haya sawa
Nataka kabla sijaenda kujifungia hotelini ma Amyner unisindikize nimpelekee The secretary nepi
Hahahaaa sasa naanza kutambua rasmi couple za JF na ndio ntaanza mchakato wa kubadili ushindi wangu ikibidi
utaingia chaka leo mdogo wangu!Copy kwa sakapal na The secretary
sasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?Naam FP kapo zote ruksa kushiri wawe straight, genge la anti bilali,malesbo.......wote ruksa......cc kiboko ya majukwaa hatumung'unyi hapa tunafyatuka tu.
Copy kwa sakapal na The secretary
Sema kule kuna raha zake aiseeErickb52,
yeye Evelyn Salt ndio aliyetuomba tukamtembeze kwa wakubwa, nasi kwa kuwa hatuna hiyana tukamkaribisha.
Na alipofika kule Kimbweka akamdaka.
Sasa mie ningefanyaje kaka!
Mkubwa hachungwi.
sasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?
hapa mimi naomba mdogo wangu Erickb52 aniombe msamaha tu kabla moto haujamuwakia......
shem wako teja akipita hapa patakuwa hapatoshi ujue
mmmmh!Of course FP ma dc/ac ( bi) wapo......hao nao ruksa ila kati ya KE na ME washindanishwe na patna mmoja tu.
Ndio uache kumwendekeza Bishanga atakuharibia kwa sakapal na ukizubaa anakufanya matusi ooooh chezeya muhaya wewesasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?
hapa mimi naomba mdogo wangu Erickb52 aniombe msamaha tu kabla moto haujamuwakia......
shem wako teja akipita hapa patakuwa hapatoshi ujue