Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Baadae tutatoa maamuzi magumu sana! Na
Asante mkuu Erickb52, hakika umeonyesha lile nililokuwa naliamini siku zote! umenirahisishia kazi sana... Chocs moyo wangu sasa uko wazi kabisa kwa wewe kuingia..njoo upate faraja na raha ulizozikosa kwa muda mrefu...
njoo nikupende sana..
Njoo upumzike!!
Hahahahaaa we jidanganye tu kiwatengu
Hupati kitu
 
Last edited by a moderator:
20. sakapal na FP -Hawavumi ila wamo a.k.a Kimyakimya
"Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
"
uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapa naomba mwongozo......
hii kweli halali jamani?
eti Bishanga uliitisha na kapo za malesb???????????
tutake radhi mdogo wangu.....
at lest mimi najijua ni very straight.....
sijui mwenzangu sakapal kama ni mteja wa haya makitu
 
Last edited by a moderator:
uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapa naomba mwongozo......
hii kweli halali jamani?
eti Bishanga uliitisha na kapo za malesb???????????
tutake radhi mdogo wangu.....
at lest mimi najijua ni very straight.....
sijui mwenzangu sakapal kama ni mteja wa haya makitu
Hahahaaa sasa naanza kutambua rasmi couple za JF na ndio ntaanza mchakato wa kubadili ushindi wangu ikibidi
 
Last edited by a moderator:
sikutegemea kabisa shemeji yangu Madame B kuwa anaweza kunifanyia hivyo, mwanzo aliniomba eti waende nae kutembea masikini Evelyn saalt wangu akawa kazoea huko

Mkeo ndio kababaika na vijana wa jukwaa la wakubwa.
Nao wakamsogeza.
 
Last edited by a moderator:
uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapa naomba mwongozo......
hii kweli halali jamani?
eti Bishanga uliitisha na kapo za malesb???????????
tutake radhi mdogo wangu.....
at lest mimi najijua ni very straight.....
sijui mwenzangu sakapal kama ni mteja wa haya makitu
Naam FP kapo zote ruksa kushiriki wawe straight, genge la anti bilali,malesbo.......wote ruksa......cc kiboko ya majukwaa hatumung'unyi hapa tunafyatuka tu.
 
Last edited by a moderator:
Naam FP kapo zote ruksa kushiri wawe straight, genge la anti bilali,malesbo.......wote ruksa......cc kiboko ya majukwaa hatumung'unyi hapa tunafyatuka tu.
sasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?
hapa mimi naomba mdogo wangu Erickb52 aniombe msamaha tu kabla moto haujamuwakia......
shem wako teja akipita hapa patakuwa hapatoshi ujue
 
Last edited by a moderator:
sasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?
hapa mimi naomba mdogo wangu Erickb52 aniombe msamaha tu kabla moto haujamuwakia......
shem wako teja akipita hapa patakuwa hapatoshi ujue

Of course FP ma dc/ac ( bi) wapo......hao nao ruksa ila kati ya KE na ME washindanishwe na patna mmoja tu.
 
Last edited by a moderator:
Yatakushinda,unaongea utafikiri umewekewa redio mdomoni.
Yakianza kushinda watu yataanza na wewe
Kila kona unatongoza tu na ole wako ujisogeze kwa Chocs lazma nikuvimbishe masaburi uanze DODOMA-SINGIDA DODOMA -SINGIDA Hahahahaaa kitu wowowooooo
 
Last edited by a moderator:
sasa kwani ambao ni straight wanaweza ingine kwenye kundi la malesbo?
hapa mimi naomba mdogo wangu Erickb52 aniombe msamaha tu kabla moto haujamuwakia......
shem wako teja akipita hapa patakuwa hapatoshi ujue
Ndio uache kumwendekeza Bishanga atakuharibia kwa sakapal na ukizubaa anakufanya matusi ooooh chezeya muhaya wewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom