Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiwasikilize hao shem, kaza butiasante shem ila akina kiwatengu wananipondakwajili ya dadako
na wewe umerudi tena?Ooooh
Umerudi tena?
usiwasikilize hao shem, kaza buti
Shemeji wa kambo umemaliza. Yaani hii tume ya uchaguzi ya nyinyiemu kabisaaaa!
Sie tunapenda hatuangalii zawadi wala mashauzi yenu hapa
Swadakta mwananthropolojia......una akili sana wewe.matokeo yamechakachuliwa
1.haiwezekani Erickb52awe mshiriki na hapohapo mratibu
2.mratibu kacheza faulo kunipora Kipipi wangu katika mazingira tatanishi kwani alishapigwa chini ila ametumia cheo cha uratibu kujimilikisha kwa nguvu
kutokana na maelezo hayo hapo juu tunatangaza kupinga matokeo na tunaomba uchaguzi urudiwe na mratibu awe Bishanga .
Azimio la kurudiwa kwa uchaguzi lisipotekelewzwa tutafanya maandamano JF ambayo yataanzia chit chat kuelekea barabara ya MMU tutaweka kambi ndogo pale halafu tutaendelea na kuishia love connect tutakapofanya mkutano mkubwa wa hadhara
Hahahahaaaa dada yangu ladyfurahia ni kweli hili neno linamfaa sana mumeo maana hajatulia hata kidogo
Nishachomeka kwa Kipipi
Naomba umwambie Shemejio Mentor mm uvumilivu umenishinda narudi kwetu Arusha kwaninaonasasa nitaambulia magonjwa bure, alivyokuja kwako kaka na kukwambia kuwa ananiitaji turudiane tena wewe kaka ukampa mashartri sasa naona yale masharti ameshayasahau hivyo ni bora nije Arusha ili nipumzike na hiyo zawadi unipe mm na mume wangu wa zamani Excellent kwani naona yeye ana moyo wa kujali na kupenda sio huyu ambaye anaonekana machoni ni mpole na kondoo kumbe ni mbwa mwitu, pls kaka mm moyo wangu bado umejaa kwake ila matendo yake yananiondoa hapol feri acha nipumzike kidogo nione kama atajirekebisha na akija home tena kaka mpe faini ya kukaa nje kwa siku 5 kama sulindutu ili iwe fundisho kwake na kwa wengine wenye kuratibu wanawake ovyo nje ya ndoa
naunga hoja
sasa unaweza kurudi kwenye usingizi wako dada langu!mdogo wangu nini sasa kunikatiza kwenye ndoto?
yaani hapa naona maluweluwe tu, lol! usingizi mtamu jamani, ukizingatia nilikuwa namuota teja! we acha tu.....
nakuaminia mdogo wangu kwa kunikingia kifua, yaani huwa najiaminije nikiwa karibu yako......! Mungu anipe nini tena zaidi ya mdogo wangu wewe?
cc. sakapal, Erickb52, na loya EMT
matokeo yamechakachuliwa
1.haiwezekani Erickb52awe mshiriki na hapohapo mratibu
2.mratibu kacheza faulo kunipora Kipipi wangu katika mazingira tatanishi kwani alishapigwa chini ila ametumia cheo cha uratibu kujimilikisha kwa nguvu
kutokana na maelezo hayo hapo juu tunatangaza kupinga matokeo na tunaomba uchaguzi urudiwe na mratibu awe Bishanga .
Azimio la kurudiwa kwa uchaguzi lisipotekelewzwa tutafanya maandamano JF ambayo yataanzia chit chat kuelekea barabara ya MMU tutaweka kambi ndogo pale halafu tutaendelea na kuishia love connect tutakapofanya mkutano mkubwa wa hadhara