Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaopoa au opolewa?
Hakunaga kama Arushaone na Lady doctor wengine woote maigizo
we nawe.... Mbona hivyo???? Hujui hiyo ndo milima na mabonde ya ndoa???
Sio mashindano lakini hebu tucheki ni couple gani inayodeserve kuwa
Couple of the year 2013
Ndani ya Chit chat??
Je, ni Arushaone & Lady doctor?
Erickb52 & Chocs?
Filipo & marejesho?
kiwatengu & shansarie?
...............kuna nyingine ambazo binafsi sizijui.
ni ipi ilikuwa nzuri zaidi ndani ya Chit chata kwa mwaka 2013?
Narudia tena si mashindano!!!
You are so lovely......Mwaaaaaaaaaaaaaaaah
You are so lovely......Mwaaaaaaaaaaaaaaaah
we nawe.... Mbona hivyo???? Hujui hiyo ndo milima na mabonde ya ndoa???
Ha ha ha ha haaa Baba V acha hizo, what is so special in it hadi liwe miongoni mwa agenda kwenyekiti?
By the way how is your day one of 2014
waacha we
Day 1 ya 2014 is wonderful kwa kweli.. Mwaka huu sitaki msongo wa mawazo if anything sounds awkward naifanya genda. Kila weekend tutakuwa na vikao vya reconciliation..