Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MadalaliNdio kina nani hao huko Daslam?
Mi alivoachana Bill Gates na Melinda Gates, nishaona the rest ni drama tu.Kuachana ama kudumu is a very normal part of any relationship
Ikitokea wakaachana haitakuwa big deal
Mimi huwa siangaliii nani na nani waliachana ili kupunguza uzito wa kuachanaMi alivoachana Bill Gates na Melinda Gates, nishaona the rest ni drama tu.
Ht Mimi nilichokaMi alivoachana Bill Gates na Melinda Gates, nishaona the rest ni drama tu.
👇Kuachana ama kudumu is a very normal part of any relationship
Ikitokea wakaachana haitakuwa big deal
Sahihi kabisa,nje ya utajiri Bill Gates nae ni binadamu na ana sifa ya ubinadamu just like an ordinary people.Mimi huwa siangaliii nani na nani waliachana ili kupunguza uzito wa kuachana
Yani niseme Bill Gates kaachana na mke wake sembuse fulani na fulani...hapana
Sahihi kabisa,nje ya utajiri Bill Gates nae ni binadamu na ana sifa ya ubinadamu just like an ordinary people.
Best couple iliyakaa mda mrefu Sana ni Jayz na Beyonce.
David Beckham na Mkewe
Yule jamaa hawezi oa kulingana na Mkataba wa umaarufu alioingia nao.Ila zuchu kakalia kuti kavu jamani. Maana kutoka na boss ni very risk, mapenzi yakiisha na kazi inakuwa ngumu Sana kufanya pamoja. Drama za hapa na pale zitamcost zuchu.
Jada na smithhao jay z na Beyonce wa juzi kabisa..
Unajua ice cube ana mda gani na mkewe?
Unajua Magic Johnson ana mda gani na mkewe licha ya kupata HIV huku mkewe hana?
🤣Nitasikitika sana nikijua aliyeandika huu uzi ni mwanamume