Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Watu nahisi wamepumzika wengine wamekuja kivingine
Jamaa alikuwaga mtu wa masihara sana na figganigga plus kina husninyo na sweetlady.

Nilikuwa napenda ukutane na thread yupo Kaizer, babu Asprin, Ashadii, Dark City, MwanajamiiOne, King'asti, Mtambuzi na Nyumba Kubwa, Paka Jimmy, Kongosho, The Boss and the crew.......wee utafurahia conversation yao wanatema madini hadi raha.
Kipindi hicho ukimtukana mtu unaambiwa uombe msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…