Joanah mbona siku izi sikuoni kwenye Uzi wetu pendwa wazee wa matreni au nimekufananisha mkuu
Nitarudi wazeeHahaha [emoji23].
Joanah umepotea sana jukwaani, kwema huko uliko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja dadaNitarudi wazee
Tusubiri pasaka ipite
Huwezi kutulia hadi upate kibendi wewe😂Nimetulia mimi 😁
😅😅😅😅😅Basi nilitumia muda mrefu sana kumfuatilia mudi mmoja mdada sikuzile nilipo tupia nyavu nilikula bani ya dunia...🤗
Sikuizi naona amepanda cheo kawa kodineta flani hivi, Mungu amuweke yule dada aiseeee...☺
Alafu hanaga noma 😅😅 ona day nimekutana nae kino viwanja yupo vyomboo ila vibe tuu .. utu uzima dawa naona kapunguza makali na alikuwa ana shinda jukwaa la utu uzima dawa
Wakongwe katika viwango vya juu kabisa🤣🤣🤣Ya kipindi ilikuwa ina bambaa sana, sasa hivi sarakasi mingiii sanaaa na kipindi hicho kuna katoto amu ndio kalikuwa kame maliza maliza IFM 😅😅😅
Nime mkumbuka gfsonwin pia mwalimu kama mwalimu.. mtambuzi alikuwa nae na mastory jamaa.. kipindi kile kilikuwa kitamu sanaa hapo zamani mambo mengi yalikuwa shwariEnzi zile Jf watu tunaheshimiana na upendo wa kweli ulikuepo kabla ya hawa watoto wa.com hawajaanza kumiliki sim za kupangusa.
Nimemkumbuka Mtambuzi kwenye safari ya Muhimbili...
😅😅 nakumbuka mengi sana .. kuna mwamba alikuja na kabinti kamoja ka TIA nikamzunguka nikaondoka nako kumbe nakp kalikuwa kanacheza simba kakala laki yangu 🤣🤣🤣🤣🤣 plus hotel pale migo ikapotea karibia laki sabini roho iliumaWakongwe katika viwango vya juu kabisa🤣🤣🤣
Usije kuwa wewe ndio Paloma na hausemi 😅😅Wapi Paloma enzi zile JF ni JF.
Wapi Lara1
🤣🤣🤣Nimeshangaa kweli
Ndio mie ndio shemela...ujiangalie nisije nakukula shemejiKumbe mzabzab Ni shemeji🤣🤣??
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mnakulana na hatupeani info
Kumbe unakula kimya kimya na haunitonyi na mie 😅😅Ndio mie ndio shemela...ujiangalie nisije nakukula shemeji
Mambo bby🤣🤣🤣🤭Jamani jaman