Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Si bure..huyu jamaa alishawahi kumtaka tunda akamtolea nje. Si kwa chuki hii.Kumbe ulianzia huku, now upo kwa Ndaro.
Be a man.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bure..huyu jamaa alishawahi kumtaka tunda akamtolea nje. Si kwa chuki hii.Kumbe ulianzia huku, now upo kwa Ndaro.
Be a man.
Nilichogundua kwa kusoma bandiko lako ni kwamba una wivu na uhusiano wao unakuumaMsema ukweli ni mpenzi wa Mungu ,nimevumilia weeeeeee lakini yamenifika haaaaaaaaaaapa acha niseme ukweli tu kama mbwai iwe mbwai tu.
Kiukweli hakuna couple isiyovutia hapa bongo kama couple ya Tunda na Casto Dickson, kiufupi hawapendezani wala hawaendani hata kidogo .
Kwa hadhi na uzuri wa Tunda hakupaswa kudate na jamaa hata kidogo ,hawaendani hata kidogo ,ndio maana Tunda humkuti akimpost post jamaa hovyo wala kujinadi kwamba wanadate ila huyo Casto ndio kutwa nzima anampost post hovyo Tunda na kujisifia sifia kwa watu sijui kabila gani huyu jamaa, maana inaonesha hakuwahi kupata demu mkali zaidi ya Tunda.
Ila nina uhakika hilo penzi lao litaisha mwaka huu tu ,sidhani kama mwakani hilo penzi lao litaendelea kuwepo abadani asilani labda jamaa ampige kizizi cha kumfunga Tunda asitamani mwanaume mwengine.
View attachment 847205
Hance umempigania sana Tunda miaka na miaka 🤣🤣🤣🤣Zilipendwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hance umempigania sana Tunda miaka na miaka 🤣🤣🤣🤣
AiseeKumbe jamaa mtabiria couple za watu mabaya kitambo 😎😎
ChaiHuyu anamtakaga tunda sema hana swaga za kumfikia ndaro
ChaiSi bure..huyu jamaa alishawahi kumtaka tunda akamtolea nje. Si kwa chuki hii.
PumbaaMsema ukweli ni mpenzi wa Mungu ,nimevumilia weeeeeee lakini yamenifika haaaaaaaaaaapa acha niseme ukweli tu kama mbwai iwe mbwai tu.
Kiukweli hakuna couple isiyovutia hapa bongo kama couple ya Tunda na Casto Dickson, kiufupi hawapendezani wala hawaendani hata kidogo .
Kwa hadhi na uzuri wa Tunda hakupaswa kudate na jamaa hata kidogo ,hawaendani hata kidogo ,ndio maana Tunda humkuti akimpost post jamaa hovyo wala kujinadi kwamba wanadate ila huyo Casto ndio kutwa nzima anampost post hovyo Tunda na kujisifia sifia kwa watu sijui kabila gani huyu jamaa, maana inaonesha hakuwahi kupata demu mkali zaidi ya Tunda.
Ila nina uhakika hilo penzi lao litaisha mwaka huu tu ,sidhani kama mwakani hilo penzi lao litaendelea kuwepo abadani asilani labda jamaa ampige kizizi cha kumfunga Tunda asitamani mwanaume mwengine.
View attachment 847205
KemeHivi wewe ni mwanaume au mwanamke?maana kazi za umbeya Huwa za wanawake