Couples Verification!


kwahiyo unasema sura ya Bishanga imemwagiwa tindikali long time kitambooo....so haogopi vitisho hivi
 
Last edited by a moderator:
Bora umeingilia kati mke wangu....tumekubaliana kununua kwa watu8 na Bishanga ndio tutamjaribu kama acid inafanya kazi....

ndio maana nakupenda Vin.......

Mr Rocky kunawakati mwingine huwa unasema maneneo ya ukweli lakini kwa njia ya utani. Nimeamini sasa.

halafu wewe Arabela wewe.........

Babe niko hapa nje jamani........
Vin Diesel unaitwa huku...

umejuaje kama mi na Vin Diesel ni wahamiaji haramu.......

na ntaenda kukushtaki unauza vitu haramu mimi

my wii usikasirike unajua ni jinsi gani kaka yako anavyonijali
Umeanza lini tabia mbaya? Leo kesi hii ataiamua Mr Rocky tu. Acha mimi niondoke jukwaa hili nielekee kule kunakoniondolea stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…