Couples Verification!

Couples Verification!

Mr Rocky kunawakati mwingine huwa unasema maneneo ya ukweli lakini kwa njia ya utani. Nimeamini sasa.



Vin Diesel unaitwa huku...



Umeanza lini tabia mbaya? Leo kesi hii ataiamua Mr Rocky tu. Acha mimi niondoke jukwaa hili nielekee kule kunakoniondolea stress.


Na wewe ukiondoka sie stress zinaisha....hehe
 
Mr Rocky kunawakati mwingine huwa unasema maneneo ya ukweli lakini kwa njia ya utani. Nimeamini sasa.



Vin Diesel unaitwa huku...



Umeanza lini tabia mbaya? Leo kesi hii ataiamua Mr Rocky tu. Acha mimi niondoke jukwaa hili nielekee kule kunakoniondolea stress.

my king my mahabuba wangu jamani........Nakupenda sana ujue
 
Bishanga sijui hata nikujibu kivipi ili walau unielewe;
Iko hivi chama ninampenda kwa kuwa anajua ninachokitaka.
 
Last edited by a moderator:
ndio maana nakupenda Vin.......

Babe niko hapa nje jamani........

Mie nipo tayari uwanjani....team pinzani haijafika

Na wasiohusika wanatakiwa kutupisha......

wanga wengi wanachungulia mpaka chumba cha baba na mama KOKUTONA njoo this way tuongee achana na Vin Diesel na Heaven on earth na grafani11 watoane macho

Ndio maana tunapendana love
Blue G haya yote umeyataka wewe, sijui unaniambia nini safari hii?. Haihitaji maelezo hata kwa macho unaona.
 
Back
Top Bottom