Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Mr Rocky kunawakati mwingine huwa unasema maneneo ya ukweli lakini kwa njia ya utani. Nimeamini sasa.
Vin Diesel unaitwa huku...
Umeanza lini tabia mbaya? Leo kesi hii ataiamua Mr Rocky tu. Acha mimi niondoke jukwaa hili nielekee kule kunakoniondolea stress.
Ha ha ha ...hayauzwi hayo...toa fiziko adresi tukuletee
Lol nyie wabinafsi......hujui hizo nyumba ndogo zenu ni nyumba kubwa kwa wengine
wanga wengi wanachungulia mpaka chumba cha baba na mama KOKUTONA njoo this way tuongee achana na Vin Diesel na Heaven on earth na grafani11 watoane macho
kwahiyo unasema sura ya Bishanga imemwagiwa tindikali long time kitambooo....so haogopi vitisho hivi
Amedanganyika na weupe wa sura akidhani wewe ni mzungu kumbe mweusi tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...Na wewe ukiondoka sie stress zinaisha....hehe
Ha ha ha PIO BOXI 14...CHUMVINI, PANGANI
Lol nyie wabinafsi......hujui hizo nyumba ndogo zenu ni nyumba kubwa kwa wengine
Mhhh...si hadi achorewe picha ndio anaelewa huyo...
Mie nshafika tayari nakusubiria...unadhani namuogopa mtu?
Huyo padri ndo tunaendana maana mi ni sista!
Huyo padri ndo tunaendana maana mi ni sista!
Mr Rocky kunawakati mwingine huwa unasema maneneo ya ukweli lakini kwa njia ya utani. Nimeamini sasa.
Vin Diesel unaitwa huku...
Umeanza lini tabia mbaya? Leo kesi hii ataiamua Mr Rocky tu. Acha mimi niondoke jukwaa hili nielekee kule kunakoniondolea stress.
ha ha ha...nilijua wakaa uvinza
ndio maana nakupenda Vin.......
Babe niko hapa nje jamani........
Mie nipo tayari uwanjani....team pinzani haijafika
Na wasiohusika wanatakiwa kutupisha......
wanga wengi wanachungulia mpaka chumba cha baba na mama KOKUTONA njoo this way tuongee achana na Vin Diesel na Heaven on earth na grafani11 watoane macho
Blue G haya yote umeyataka wewe, sijui unaniambia nini safari hii?. Haihitaji maelezo hata kwa macho unaona.Ndio maana tunapendana love
Nipo shikamoo jazz, nimepita huku baada ya kutaaarifiwa na raia wema unayoyafanya huku.